💯💯💯💯 Hii ni kwelina ukiwa na ndugu mabazazi hawataki hata kuona kaburi lako, wanakuchoma moto kisha majivu wanapeperusha.....ni ujinga tu kuwa na mabilioni ya pesa kiasi hicho na kuna watu jirani nawe wanateseka kwa njaa, hawana pa kulala wa mavazi.
Ohooo family money ni tamu sana ni kama kampuni ya chocolate ya koch family utaratibu wao ni mzuri sana duuh noma kwelikweliMzee UAE kuna watu wana hela chafu saaana.
Ushafuatilia hii banking crisis ya mwaka huu ilianzaje? Kuna benki kubwa duniani inaitwa Credit Suisse ilikua inapewa hela na waarabu wa Saudi Arabia na ndo hela walokua wanaizungusha, sasa hao waarabu wakatangaza kuacha kutia hio hela huko na kilichofuata bank kubwa duniani imeyumba balaa hadi serikali zao zikaingilia kati.
Uarabuni kuna hela chafu sana ila untracked kwa sababu sio watu wa maneno mengi, na ni family money kama tu ilivyo ya LVMH japo huyo mkuu wa LVMH anahesabiwa ila hawa waarabu hawahesabiwi
Pesa za majiniList za kubumba
kuna masheikh mashariki ya kati uko wanamiliki % kadhaa za mafuta yote yanayozalishwa duniani.
Na huwezi ujawakuta kwenye list Forbes.
💯You cant help everyone.
Mbona wengi wanajitolea tu lkn shida haziishi duniani hapa, kumchukia tajiri sio solution ya umasikini, aidha kujiweka karibu nao ah kupambana mwenyewe ndo inaweza kusaidia.
List za forbes uchwara tu, ndo maana niliona ni sawa mondi alipozitukana mwaka jana kama sio mwaka juzi.
Mfano hii ya 30 under 30 wameweka madogo ambao hata hawajulikana na wanasema wana ushawishi mkubwa, ukicheki hawa madogo wana roots USA, probably labda kuna greasing mahala
Yale yale ya stori za vijiweni. Nimekwambia unitajie mmoja na kiasi anachomiliki unakuja maelezo meeengi. Nani kakwambia LVMH ni biashara ya familia? Utajiri wa Benard Arnault ni wake binafsi (personal fortune) sio utajiri wa LVMH. Unachanganya thamani ya Kampuni (market capitalization) na utajiri binafsi wa mtu ambaye ni Kiongozi wa hiyo kampuni.Mzee UAE kuna watu wana hela chafu saaana.
Ushafuatilia hii banking crisis ya mwaka huu ilianzaje? Kuna benki kubwa duniani inaitwa Credit Suisse ilikua inapewa hela na waarabu wa Saudi Arabia na ndo hela walokua wanaizungusha, sasa hao waarabu wakatangaza kuacha kutia hio hela huko na kilichofuata bank kubwa duniani imeyumba balaa hadi serikali zao zikaingilia kati.
Uarabuni kuna hela chafu sana ila untracked kwa sababu sio watu wa maneno mengi, na ni family money kama tu ilivyo ya LVMH japo huyo mkuu wa LVMH anahesabiwa ila hawa waarabu hawahesabiwi
Again, unachanganya utajiri wa eneo na utajiri wa watu binafsi. Kama ni hivyo basi hata Congo inapaswa kuwa na matajiri kwenye orodha ya dunia maana kuna raslimali nyingi sana za asili. Tafiti kwanza hizo tofauti kisha ndio uongee.Mkuu.
Unalinganisha natural na artificial worth?
Utajiri wa watu wa america na Europe unatokana na utashi na ubunifu ambao unaathiriwa sana na mabadiriko na matakwa ya mazingira.
Utajiri wa waaribu unatokana na natural resources. Hakuna cha innovation Wala entrepreneurship non sense inahitajika. Miaka na miaka upo na hauna hasara.
Wewe ndo unaleta story za vijiweni na unataka nikupe story za vijiweni, hao waarabu ni ngumu kujulikana ila effect ya hela yao inaonekana,Yale yale ya stori za vijiweni. Nimekwambia unitajie mmoja na kiasi anachomiliki unakuja maelezo meeengi. Nani kakwambia LVMH ni biashara ya familia? Utajiri wa Benard Arnault ni wake binafsi (personal fortune) sio utajiri wa LVMH. Unachanganya thamani ya Kampuni (market capitalization) na utajiri binafsi wa mtu ambaye ni Kiongozi wa hiyo kampuni.
Mkuu hujui hata unachoongea. Umedai kuna waarabu wana utajiri kuliko Forbes list. Nimekwambia unitajie unaanza kutaja benki, sasa benki ni mtu binafsi? Elon kutumia hela za waarabu sio kitu cha ajabu. Waarabu wamewekeza sana kwenye makampuni, masoko ya hisa na fedha Ulaya na US. Kitu ambacho kina-contradict point yako kwamba utajiri wa Europe na US sio halisi. Then kwa nini waarabu wanawekeza huko? Kwa nini wasinge-stick kwenye hayo mafuta yao?Wewe ndo unaleta story za vijiweni na unataka nikupe story za vijiweni, hao waarabu ni ngumu kujulikana ila effect ya hela yao inaonekana,
Sasa ukitaka nikutajie majina huoni unanilazimisha kukupa story za vijiweni?
Fuatilia Saudi National Bank imeinvest wapi ndo utaona effect ya hela za waarabu, hata elon musk alipotaka kuipeleka Tesla private mwaka 2018 alikua anapewa kiburi na funds za Saudi Arabia.
Hujui unachokiongelea af unaita story za kijiweni kisa huna information.
Benard Arnault percent kubwa ya utajiri wake ni share yake ya LVMH ambayo anaipata sababu ni kiongozi wa hio Family Business, sasa kama hata unakataa hilo ambalo google search ndg tu inakujibu basi naona napoteza tu mda wangu kukuquote. Na kwa taarifa yako watoto wake wanapigana vita balaa hadi media zinatangaza hilo ili mradi tu kuwa successor lkn jamaa kakomaa haachii kiti
Nimesema vyanzo vya Utajiri wao sio maeneo ya utajiri wao.Again, unachanganya utajiri wa eneo na utajiri wa watu binafsi. Kama ni hivyo basi hata Congo inapaswa kuwa na matajiri kwenye orodha ya dunia maana kuna raslimali nyingi sana za asili. Tafiti kwanza hizo tofauti kisha ndio uongee.
Taja basi hao waarabu wenye utajiri zaidi ya Forbes 400 tuwajue. Mbona unazungukazunguka tu?Nimesema vyanzo vya Utajiri wao sio maeneo ya utajiri wao.
Wewe unaniletea habari za Congo tena
Sawa tajiri, ngoja ukate moto tuone ukienda nazo kuzimu,Hizi kauli za kimasikini zinipite mbali kabisa 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Jay is very smart.... Yemwenyewe anasemaga from the pj to the pj, yan from the projects(marcy projects) to the private jet.... I am at the cap table, what the split is...Roc-boy and Roc-girl
"......How many billionaires come from the ROC Crib? I count 3, Me, Ye and Rih. Bron's a ROC boy so four Technically......" - JAY Z (from God Did)
Hata waoteseka wameumbwa sawa tu na hao mabilionea isipokua vilema na wenye mapungufu mbalimbalina ukiwa na ndugu mabazazi hawataki hata kuona kaburi lako, wanakuchoma moto kisha majivu wanapeperusha.....ni ujinga tu kuwa na mabilioni ya pesa kiasi hicho na kuna watu jirani nawe wanateseka kwa njaa, hawana pa kulala wa mavazi.
Utajiri ni utajiri tuMkuu.
Unalinganisha natural na artificial worth?
Utajiri wa watu wa america na Europe unatokana na utashi na ubunifu ambao unaathiriwa sana na mabadiriko na matakwa ya mazingira.
Utajiri wa waaribu unatokana na natural resources. Hakuna cha innovation Wala entrepreneurship non sense inahitajika. Miaka na miaka upo na hauna hasara.
Kwa nini usimlinganishe na Elon Musk?Kuna kitu kinakuumiza ndani rohoni.Nakemeaaa...tooookaaaaa shetaniiii...!Tokaaaaa!kwaiyoo Rihanna kampita mwamedi wa thimba?
wewe ni mke wa nwamedi?Kwa nini usimlinganishe na Elon Musk?Kuna kitu kinakuumiza ndani rohoni.Nakemeaaa...tooookaaaaa shetaniiii...!Tokaaaaa!
Unataka unioe?wewe ni mke wa nwamedi?
Taja basi hao waarabu wenye utajiri zaidi ya Forbes 400 tuwajue. Mbona unazungukazunguka tu?
Uache shobo next timeTaja basi hao waarabu wenye utajiri zaidi ya Forbes 400 tuwajue. Mbona unazungukazunguka tu?