Hajamove on huyo.... Angekua amemove on asingeleta huu uporoto kwenye public
Hongera Jide kwa kufanya kile moyo unapenda.
Bado anamkumbuka mzee wa kukojozaMtu akisha move on ana haja ya kuyaonyesha hadharani hayo makaratasi kweli?
Talk about [not] taking your own advice [emoji23] [emoji23]
Drama queen extraordinaire!!!!
Km ni hivo basi hatariii....Nenda Kwenye page yake IG kaiweka mwenyewe Jide ...
Sasa mtu hana time na wewe unamsema sema ili iweje? Au kakumbuka kukojozwa?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Achana na Marioo huyo, inawauma etiii
Yaani Marioo wote wakiona jide kapost kitu kuhusu G roho inawauma kama wamesemwa wao..
Na bado jide ashushe vichambo kwa Marioo wote kwa kweli!
anatafuta mchumba, kama hayakuhusu pita kushoto![emoji16] [emoji12]hayatuhusu kumbe jide hana akili eeh
Acha kumdanganya mwenzako aendelee kujianika hadharani ujinga wake. Kama kamiss kukojozwa amtafute kimya kimya.Kwa Mara ya kwanza nimegundua Marioo ni janga kubwa na limecover kwa kiasi kikubwa hapa Tz kumbe!!...
Humu wanaoponda ni wale wanaume waliokula visenti vya akina Dada wakaambulia za USO, kwa hiyo mmekuja kushusha machungu yenu kwa COMMANDO jide!
Big up ANACONDA endelea kutoa za uso kwa Marioo wote...