Jaydee amtosa Gardner


nilisikia huyo ex wife alishagaolewa...labda aanze alifu kwa ujiti.
......
 

Nafanya mpango wa kupima,sijawahi lalamikiwa ingawa kuna moja alilalamika kama utani at the end akasema ametoa mimba
 

Sipati picha ka tatizo lingekuwa kwa mwanamke....sijui angekua analilia wapi aiseee!!
 
gardner si ajenge nyumba yake?ona sasa anavyoteseka kuzunguka na mabegi, mara kwa nduguye, mara akapange.. dahhh!!! pole sana broo..
 

Yule aliyekua anaoa ni mdogo wake kabisa (Dabo) na huyo anaesema meneja wake mpya (Wakazi) ni ndugu yao.
 
Kwa muda walioishi pamoja na kuvumiliana.....nini kinafanya waone inatosha? ......miaka zaidi ya tisa kwa wanandoa si jambo dogo.....hawa wanategemeana kwa mengi.....wakubali mapungufu yao.....yale ya kubadilika wabadilike......wavumiliane.....kila jambo baya lina mwisho......nawatakia kila lakheri ....mioyo yao ijitafakari na kujirudi ili maisha yaende mbele......
 

Mkewe yupi
Wakati alishaolewa siku nyingi na.mwanaume mwingine anaiahi vzr tu.
Imekula kwake!
 
Gadner tupatupa mariooo sasa ataipata fredh. Si ndiyo walikamatwa na yule mropokaji kibonde wakiendesha bila kufuata sheria za barabarani wakiwa walevi na wakasweka selo urafiki? Hakika Lady Jaydee hapaswi kuwa na mume wa jinsi hii.
Ha ha ha ha, so u mean wimbo wa HISTORIA WA JAY DEE UNAMHUSU?
 

couple yao ilikuwa poa sana, nadhan jaydee mpaka apo alipofikia mumewe gadner ka play role kubwa sana kuhakikisha jide anafanya vzur, maana gadner ni mtu wa watu, maana kuna watu jide hapatani nao lakini hao watu wanapatana na gadner na inaweza ikawa hao watu ndo waliosababisha jide akawa juu na kuendelea kuwa juu, Gadner ana network kubwa sana na anafahamiana na watu wengi sana na ana experience na hyo kazi ya umanager, maana sometimes kuishi na yule bibie jide yataka moyo
 

karibu binamu...walau sasa jukwaa litachangamka.
 
Webiro wakazi ni diaspora hii kasi ya ma diaspora kurudi bongo inanipa faraja sana maana majuu inaonekana si mchezo kuna m1 kakimbia kuzoa taka karudi bongo sasa ni promota na huyo karudi ni meneja ha ha ha ha.
 
Kitendo cha Gadner kukaa kwa ndugu na baada ya kuchokwa kuamua kwenda kupanga mwananyamala kwa mateja kweli maisha ni elimu tosha kutoka kwenye mansion na Envoque juu mpaka kwa mateja na kuomba lift kwenye carina ti ya kibonde kweli mapenzi ni shida na pesa ndio kabisaa #waalade .
 
Binamu hizi network zake hazimpagi hela jamaa? Maana huku kutangatanga mara kwa ndugu mara kupanga mwananyamala mbona ni keroo!
 

Kwan gadna alikua hatunzi pesa nae kununua gari zake na nyumba zake,lakini hapo lazima wagawanee,ila kama gadna hana kitu jide atakua ni mbinafsii
 
Kwan gadna alikua hatunzi pesa nae kununua gari zake na nyumba zake,lakini hapo lazima wagawanee,ila kama gadna hana kitu jide atakua ni mbinafsii
namshukuru Mungu kwa mwanamke aliyenipa, angenipa kama jide, nisingemtambulisha hata kwa watu. huwa sipati picha gadner akiwa naye ndani inakuwaje. Mungu awasaidie. ila kama kweli gadner aliacha ndoa, arudi kwa mkewe wa ndoa. na jide kama anajua kuwa gadner alichangia chochote kwenye mali alizonazo basi amgawie mwenzie au ampe hata za kuanzia maisha tu.
 

Ni kwelii amgawie maana gadna pia kamfikisha hapo alipo jide
 

Hahahaa haaaa
Uwiii Yaani nimecheka
Eti waalade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…