Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
kwani gadner si anaye mkewe wa ndoa ya kanisani, jay dee alikuwa kimada aliyepora ndoa ya mwanamke mwenzie, gadner arudi kwa mkewe haraka. vilevile, kwa kumwangalia tu jeydee kwenye ile diary yake, nilishamwambia hata waifu kuwa "jaydee si mke material", yule si mke wa kuoa, utapasua kichwa. gadner lazima atakuwa alivumilia mengi sana ikafika kipindi maji shingoni akasepa. sijui sasa pale aliyeolewa alikuwa nani, gadner ndio aliolewa jide ndo alikuwa mumewe..hadi nikimwangalia nilikuw anamownea huruma.
nilisikia huyo ex wife alishagaolewa...labda aanze alifu kwa ujiti.
......