Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 976
- 47
Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!
Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.
nyie acheni hayo makitu...mbona Babu Sambeke anayo yake pale Moshi na anasumbua nayo hapa angani kinyama....inawezekana mazee