Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!
Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.
Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!
Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.
Huyo raia umemtaja namjua kama njaa, na naelewa alikotegesha machanneli yake ya fweza!...Hivi unamjua vizuri yule bwana au unamsikiaga tu?nyie acheni hayo makitu...mbona Babu Sambeke anayo yake pale Moshi na anasumbua nayo hapa angani kinyama....inawezekana mazee
Maaaavi umeskia ni boxer 150 ile....amalize mkopo ule wa CRDB kwanza
MALENGO (yawe ya muda wowote.......mfupi au mrefu)
1. Lazima yawe REALISTIC
2. Lazima yawe ACHIEVABLE
3. Lazima yawe na TIME FRAME
4. Lazima yawe CHALLENGING
Kama kimojawapo hapo juu kinakosekana kwenye hayo malengo, PANGA UPYA. Kwa JD naona kaweza namba 4. tu.......... hizo nyingine bila bila......
anaweza kununua kabla hajafa, sijui mtasemaje!!!
acha wivu wa kijinga kuwa na wivu wa maendeleo....jiulize na ww utanunua lini ya kwako
huyu jaydee vipi? mara aseme yeye ni bora kupita whitney houston, mara ee, ameenda shule huyu??