King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Aisee mie huwa sikai around watu wanaojihisi. Cant tolarate mauza uza. Yaani mtu kila saa ooh mbona unaniangalia vibaya? kama jicho linaniwasha utajuaje sasa? Ooh umeninunia? ooh huniamini? kama unajijua sio wa kuaminiwa why unataka uaminiwe kwa kushawishi na maneno? khaaa
Njooni niwape ofa kama mna miguu ya kutembea. Firigisi bill on me. Muamue mnipe kidate halafu muanze kujihisi hehehe.:A S 11::A S 11:
Njooni niwape ofa kama mna miguu ya kutembea. Firigisi bill on me. Muamue mnipe kidate halafu muanze kujihisi hehehe.:A S 11::A S 11:
Acha kabisa, kuna watu kwa kujihisi hawajambo.
Eti hata hizi komenti kuna watu huwa wanajihisi, unashangaa mitusi inaporomoshwa, khah!
Nimempania King'asti, nikimhisi tu atajiju.
ahahahaha uniite tumhisi wote,
'tamuanzishiaje thread zenye title za anchoma kumoyo!
atajibebaaaaje!