Mimi na wewe kwa kiasi kikubwa tunapishana sehemu moja! Wakati wewe unaona penye loophole ya kisheria si dhambi kuvunja sheria, kwa upande wangu naamini loophole ya kisheria isiwe chanzo cha kuvunja sheria! Awali hoja yako ilikuwa kwamba suala ku-copy sio tatizo ndipo nilipoamua kukupa mifano ya kesi mbalimbali huko Hollywood zinazohusiana na masuala ya ku-copy kazi za watu wengine! Kuna mahali warumi alikupa changamoto kwamba utafute wanafunzi wa sheria wakupe darsa kuhusu masuala ya IP lakini ukasema wewe kwenye suala la sheria, warumi labda atafute kingine! Kwa hoja yako hiyo, inawezekana wewe ni mwanasheria kweli na sifa kubwa ya wanasheria ni kubadilikabadili... hivi sasa watasema hivi, ukim-tight, anatafuta pa kutokea na kuleta jambo lingine kama ambavyo ulivyobadilika hivi sasa na kuacha kuzungumzia ni jinsi gani isivyo serious issue ku-copy kazi ya mtu lakini kv nimekupa mifano hai, umeamua kuleta how hard it is ku-implement such issues internationally!!! Anyway, I can understand that lakini hoja ya msingi hapa ni kwamba, hata kama ni vigumu ku-implement international copyright laws between two countries, bado hiyo haiwezi kuwa excuse ya ku-copy kazi za mataifa mengine bila rushusa!chige katika masuala ya IP, itabidi ujue Sheria za ndani ya NCHI husika ndo zinakuwa implemented zaid kubana mambo ya Copyright brother..ni rahis sana Kwa kusue for copyright infringement within A country, kuliko kufanya hivyo intenationally!!!
Ngoja nikwambie kitu, ukifatilia sheria za IP, sheria mujarabu always inakuwa ni Copyright, hii huwa inavunjwa sana, na haishangaz huko US kuna baadhi ya states mwaka 2011 waliipitisha kama Criminal offense!!! wamarekan wamefail kuexcute suala la international Copyright infringement at some point, Manake wanasheria ya International Copyright ambayo inaGovern mambo ya Foreigners conducts katika Mambo ya copyright..lakin kibaya zaid, hii sheria haiko enforced kabisa Outside America au UK, manake kuna Wachambuzi wa masuala ya sheria wanasema Practically International Copyright Act haipo, japokuwa ukicheki Laws za US or UK utaikuta, Kwanini wanasema hivyo??? (nadhan nishaeleza hilo tatizo kwenye Posts zangu za mwanzo)...
Now, kiukweli, ni kwamba Suala la Copyrights lipo zaid katika treaties, signatory countries zinakuwa bound zaid na hiz treaties kuliko laws (international Copyright Act)..Tanzania kuhusu hili suala nadhan tupo katika Berne convention, the same to India, Muulize mtu yoyote anayejua Sheria hi ni Convention "Agreement" yenye Exception kibao sana, na haim-bani sana muhusika wake, (kaisome Vizuri)..
Na kitu kingine chige, Implementation ya Laws ni tofauti na treaties, treaties ni "mutual agreement" haiwez kuwa Enforced bro, imagine kama Hizi treaties ndo zingekuwa laws, kungekuwa na mambo ya kuCopy??? kwann US na international Copyright Act wamefail kucaptalize kuhusu hili suala la copyright internationally???
Case nyingi za US, ni Directors au Authors kuiba ideas ambazo wamekuwa wameletewa na undergrounds, au kuiba ideas za Movie houses zingine, lakin ZILE za kuCopy MOVIE iliyotoka tayari ni CHACHE SANA!!
Hilo mosi, lakini pili nimeonelea nikuwekee mifano ya lawsuits between Hollywood na Bollywood... from two different countries!
Hii nyingine:Executives at 20th Century Fox have accepted a $200,000 (£125,000) settlement from Bollywood film producers who they accused of copying their movie My Cousin Vinny.
Fox bosses filed the lawsuit at India's Bombay High Court in May (09), claiming officials at BR Films produced an illegal remake of the Oscar-winning 1992 film.
More: My Cousin Vinny Copy Case Is Settled | Contactmusic.com
Hata Dr. Dre nae yaliwahi kumkuta:Harry Potter studio sues over Bollywood comedy 'Hari Puttar'
A Bollywood children's film has become embroiled in a legal battle with Warner Bros over claims it is based on Harry Potter.
"Hari Puttar: A Comedy of Terrors" which tells the story of a hapless youngster dragged into a plot to save the world, is one of India's most anticipated films of the year.
Warner Bros say the film bears too close a resemblance to JK Rowling's wizard hero but its producers have dismissed claims of plagiarism.
More: Harry Potter studio sues over Bollywood film Hari Puttar - Telegraph
Dr. Dre, Interscope Stung With $500 Million Lawsuit Over ‘Addictive'
Suit alleges Truth Hurts' single uses unauthorized sample of 'Thoda Resham Lagta Hai.'
An Indian film and music company is suing Interscope Records and its parent company, Universal Music Group, to the tune of more than $500 million over the use of an unlicensed sample on "Addictive," the first single from Truth Hurts' debut LP, Truthfully Speaking.
Dr. Dre, Interscope Stung With $500 Million Lawsuit Over ‘Addictive' - MTV
Lakini habari muhimu zaidi ni hii hapa chini. Kwenye habari hii nimechangua baadhi ya vifungu ambavyo vingine vinajibu ni kwanini kuna movie Bollywood zinazofanana na zile za Hollywood! Habari ni hii hapa:
Hollywood Finally Challenging India's Booming Bollywood Over Knockoffs
MUMBAI -- For years, Indian producers have paid Hollywood the ultimate compliment: knocking off American films scene-for-scene and turning them into Bollywood blockbusters.
Now, Hollywood is paying Bollywood a compliment of its own. Instead of ignoring the plagiarism, American moviemakers have begun suing their counterparts in India, a sure sign that this country's booming, $2.2 billion-a-year film industry has arrived as a global player.
Last week, 20th Century Fox accepted a $200,000 settlement from the Bollywood film producer it accused of copying its 1992 Oscar-winning comedy "My Cousin Vinny," better known here by its Bollywood version, "Banda Yeh Bindaas Hai," or "This Guy Is Fearless."
Warner Bros., Sony Pictures and 20th Century Fox have teamed up with Indian film studios to make several Bollywood movies. Disney invested nearly $200 million this year in one of Bollywood's biggest producers, UTV.
At the same time, billionaire Indian industrialist Anil Ambani, whose wife was a Bollywood starlet, recently led a total investment of $825 million, of which his company is paying $325 million to Steven Spielberg's DreamWorks SKG Studios.
The out-of-court settlement has alarmed directors of other alleged Bollywood copies of American movies, such as "Teree Sang," (Hollywood's "Juno"), "Salaam Namaste" ("Nine Months") and "Koi Mil Gaya," which borrowed generously from Hollywood hits such as "E.T.: The Extra-Terrestrial," "Singing in the Rain" and "Rain Man."
Subhash Ghai, a popular director and the founder of Whistling Woods International acting school in Mumbai, said Bollywood filmmakers will still copy American plots. But now they will have to buy the rights.
More: Hollywood Finally Challenging India's Booming Bollywood Over Knockoffs
Hapa nimalizie kusema kwamba, kitu pekee kinachoweza kuwasaidia watu kama akina JB ni kv tu wapo too local na industry yetu haina chochote cha maana cha kumfanya mtu am-sue JB lakini sio kwamba hakuna msingi wa kum-sue! Ndio maana katika post moja nilisema hapa ngoja hiyo filamu ya JB ifanye wonders, itengeneze millions of dollars halafu uone kama atasalimika! Au, hata isipofanya wonders hiyo movie ya JB, let's assume atokee Producer wa Hollywood na aipende hiyo movie ya JB lakini akaamua kufuata sheria na akainunua hiyo movie kutoka kwa JB kisha akafanya remake na kuchukua contents nyingi kisha hiyo movie ifanye vizuri... baada ya hapo utakuja ona kama mmiliki wa Ladies Vs Rick Bahl atakaa kimya!
Last edited by a moderator: