JB na Skendo mpya ya kuiba mawazo ya Movie ya ''Ladies Vs Ricky Bahl"

Yaani mpwa mumemfurukunyua tena JB ili tuendelee kumsimanga??!! I cry for Bongo Movie aisee coz' ndio sekta pekee ya burudani yenye uwezo wa kuajiri watu wengi zaidi kwa wakati mmoja!

Jb anajitahidi sana movie zake, ukiangalia huwezi kujuta kupoteza muda na pesa, sema tu ubunifu hawana kwenye movie zao, movie hazina mood na waigizaji bado wanaigiza kuanzia matendo hadi kuongea, then hawabadiliki kila siku mapenzi tu kila siku
 
Bongo muvi itafika mbali pale wenye vipaji wakipata nafasi na watunzi wazuri wakipata nafac pia😱

Umeongea kabisa, wenyewe hawaangalii vipaji, ukiwa handsome au mwanamke mzuri basi wewe muigizaji
 
Bongo muvi itafika mbali pale wenye vipaji wakipata nafasi na watunzi wazuri wakipata nafac pia
Jb anajitahidi sana movie zake, ukiangalia huwezi kujuta kupoteza muda na pesa, sema tu ubunifu hawana kwenye movie zao, movie hazina mood na waigizaji bado wanaigiza kuanzia matendo hadi kuongea, then hawabadiliki kila siku mapenzi tu kila siku
Lakini siku hizi angalau kwa mbaaaaaali wanajitahidi kuitisha stori kwa wale wenye nazo lakini kwa upande mwingine, suala la waandishi wa script vile vile bado ni tatizo! Kuna lots of aspiring screenwriters lakini kwa bahati mbaya hawana msaada coz' si tu kwamba hakuna screenwriting schools au angalau screenwriting writing classes, lakini hata zile training za hapa na pale bado ni haba na hata wanaopata nafasi ni wale tu ambao tayari wapo kwenye game! Nimeshawahi kuona scripts kadhaa lakini bado nyingi majanga hata kutoka kwa wale ambao wapo kwenye game... kupata tight script hata huko Hollywood lazima uingie mfukoni... Kibongobongo, pamoja na yote uwe tayari kulipa angalau sh.5 million lakini hakuna ambae yupo tayari kulipa hiyo pesa!!!

Kwa upande wa waigizaji, mie sina tatizo nao kabisa... si kwamba ni wazur lakini waigizaji hawa hawa endapo wanapata director na story mzuri, wanaweza kufanya mambo ambayo kila mtu anaweza kushindwa kuamini! Mapungufu katika uigizaji (kwa upande wa waigizaji) yanatokana na ubovu wa ma-director na mapungufu au ubovu wa filamu husika unachangiwa sana na stori... sasa ukipata director wa hovyo, kisha na stori ya hovyo hapo ndo a total bomb!!

Refer Siri ya Mtungi... nasikia wengi wanaisifia... cjapata bahati ya ku-settle na kuiangalia! Ile tamthilia waigizaji ni hawa hawa ambao wengi wao hawakuwapo hata kwenye ramani ya uigizaji lakini kwa kuwa wamepata directors wazuri waandishi wazuri wa story/script, Siri ya Mtungi imeweza kukamata!
 
Mfumo uliopo ni adui wa kuwezesha kufanya filamu kuwa filamu....na waliopo ndani hawaambiliki coz zile shilingi mbili za wadosi zimeshawalevya kabisa...kana kwamba wakizikosa basi wataangamia.

Sasa umpe JB script nzuri ili hali Mdosi anataka pati one na two utegemee nini kama sio aibanange tu hiyo script mpaka ipoteze maana...na hakuna njia unaweza kuandaa proper screenplay ikafaa kuwa pati one na two zetu.
 

Siku izi part n two ndo habar ya mujini, yan hawa steps mbwa kabisa nfyuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…