username47
New Member
- Apr 20, 2017
- 4
- 2
Kumbe huyu jamaa ana akili.....asikilizi bongo fleva? Safi sana hii, itabidi nianze kununua filamu zake kuanzia sasa.
Anaweza kukutajia Bob Marley na Michael JacksonJB anasema yeye huwa anasikiliza Country music ila ukimuuliza majina ya waimbaji watatu wa country music atabaki anajiuma-uma.
Tena Huyu JB ni kilaza kam bashite tu movie zake pamoja na ku-copy nje bado ameshindwa kuzitendea haki.
Kuna movie yake moja kacheza na wema sepetu inaitwa 14 days ni copy ya movie moja inaitwa Fireproof yaani each and everything amechukua PUMBAVU KABISA
Ametoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.JB amedai hamfahamu mwanamuziki huyo na wala hasikilizagi bongo fleva, ila kwa kauli yake hiyo amesema anampenda sana japo amemdiss,
Yeye pamoja na kusema hasikilizi Bongo Flevaila hawachukii wanamuziki wa Bongo Fleva
Pia amesema sio kwamba hawataki movie za nje zisije ila wanataka zilipe kodi kama wao wanavyofanya, kwa kuwa mtu anadownload movie ya nje kisha anaizalisha copy nyingi na kuiuza bila kulipa kodi na amesema hii ikiendelea na wao hawatalipa kodi kwa movie zao pia
Mizengwe(zembwela na max)Hakuna Bongo Movie ila kuna Bongo Maigizo
Sio kweli itakuwa yalikuwa ni maigizoKwanza huyo jamaa si alitangaza ameachana na 'maigizo' ya bongo movie
Hakufanya hivyo mkuu,Vp a meacknowledge kwa waliocheza awali?
ATAKUA NI MMOJA WA MATAAHIRA ANATHIBITISHA MCHANA KWEUPEJB amedai hamfahamu mwanamuziki huyo na wala hasikilizagi bongo fleva, ila kwa kauli yake hiyo amesema anampenda sana japo amemdiss,
Yeye pamoja na kusema hasikilizi Bongo Flevaila hawachukii wanamuziki wa Bongo Fleva
Pia amesema sio kwamba hawataki movie za nje zisije ila wanataka zilipe kodi kama wao wanavyofanya, kwa kuwa mtu anadownload movie ya nje kisha anaizalisha copy nyingi na kuiuza bila kulipa kodi na amesema hii ikiendelea na wao hawatalipa kodi kwa movie zao pia
Shikamoo jfHusikilizi bongo fleva alafu movie zako zina sound track za bongo fleva