Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni kwamba hakuna kitu kizuri cha bei ndogo lazima ugharamie. Vinginevyo uwe na subira ya mwaka au zaidi utakuta imeshuka hadi 1,100,000 au chini ya hapo. Lakini ukijitoa mhanga ukanunua, kwa huduma utakayopata utasahau hiyo hela.Kwa 1.5m, wabongo wataishia kununua copy alafu kuja kupigia watu kelele humu
Na kusema ukweli kinapig mzik mtamu sanaShida ni kwamba hakuna kitu kizuri cha bei ndogo lazima ugharamie. Vinginevyo uwe na subira ya mwaka au zaidi utakuta imeshuka hadi 1,100,000 au chini ya hapo. Lakini ukijitoa mhanga ukanunua, kwa huduma utakayopata utasahau hiyo hela.
Boom x2 ni watt ngapi ja uliipata kwa bei ganiNina JBL Tune 760 NC na JBL Boombox 2, jamaa wapo vizuri sana mkuu, ngoja nifanye namna nibebe Boombox 3.
Yangu ina 160 Watts, bei mkuu nilinunua wakati tu imetoka, kama alivyosema mtoa mada ilikuwa hela ya kiwanja au kuweka msingi mkoani hukoBoom x2 ni watt ngapi ja uliipata kwa bei gani
Sema bei brooYangu ina 160 Watts, bei mkuu nilinunua wakati tu imetoka, kama alivyosema mtoa mada ilikuwa hela ya kiwanja au kuweka msingi mkoani huko
Kama unataka kuchukua mkuu na bajeti inatosha chukua boombox 3 ni latest, kama haitoshi hata 2 ni noma vile vile
Mnatoa wapi hela za namna hiyo?Nina JBL Tune 760 NC na JBL Boombox 2, jamaa wapo vizuri sana mkuu, ngoja nifanye namna nibebe Boombox 3.
Ukiwa chiz maredio unanunua tuMnatoa wapi hela za namna hiyo?
Ndio huon mimi nimeplace order ya hio anker lakin jana almanusur nimvue mtu flip 5 kisa tu kuzoea kutembea na miredio, hebu ichambue kwanza hio mashine soundcore motion boom plus unijuze unyama wakeAll about sound👊🏻
Utakuwa unaishi tukuyu, huku dar hiyo ni kodi ya mwezi kigamboniHuku kwetu 1.3 unahamia kabisa chumba na sebule
Iko na mwingiliano wa battery life na making materials ya speakerNdio huon mimi nimeplace order ya hio anker lakin jana almanusur nimvue mtu flip 5 kisa tu kuzoea kutembea na miredio, hebu ichambue kwanza hio mashine soundcore motion boom plus unijuze unyama wake
Iko na mwingiliano wa battery life na making materials ya speaker
Ila iko tofauti kabisa kwenye watts mzee
Nalijua hilo nilikua naomba kuchambuliwa tu hio model kitaalam bas coz ni kama watt 80 tu hioNguvu ya sauti kati ya hiyo yako na