JBL Vs Anker: Ni redio ipi ina mdundo zadi?

JBL Vs Anker: Ni redio ipi ina mdundo zadi?

Hio Harman ndio JBL yenyewe hio Mzee awali separate kama sijakosea now kitu kimoja
Mkuu hivi naweza nunua Anker soundcore motion plus alafu nikaunganisha na TV ya hisense hizi A6 za nchi 50 na nikapata mziki descent sebuleni kwangu? na kama haiwezekani unashauri nichukue sound bar gani kwa bajeti ya laki 5 ?
 
Mkuu hivi naweza nunua Anker soundcore motion plus alafu nikaunganisha na TV ya hisense hizi A6 za nchi 50 na nikapata mziki descent sebuleni kwangu? na kama haiwezekani unashauri nichukue sound bar gani kwa bajeti ya laki 5 ?
Laki 5 huna haja ya motion plus,tafuta Samsung T450 ,au A650 au T 550 hizi ni Budget soundbar,ukipata A650 au T550 nafkr zina 3.1 channel
 
Anker sijaitumia,
Ila naikubali Sana jbl,
Mchawi bei zake, very overrated
 
Laki 5 huna haja ya motion plus,tafuta Samsung T450 ,au A650 au T 550 hizi ni Budget soundbar,ukipata A650 au T550 nafkr zina 3.1 channel
Mkuu vipi hii soundbar ya SONY HT-S350 ukilinganisha na hizo ulizotaja?
 
Mkuu kati ya JBL sound bar ile ya 9.1 watts 800 na Sony Sound Bar ya Watts 1000 ipi ya kununua?
Sony ziko vizuri mkuu hata ukichukua sio mbaya Sana Ila JBL au Harman kadon studio 6 or 5 NI konki mno

Ila Kwa ushauri wangu chukua sound bar ya JBL utakuja tushukuru hapa [emoji91]
 
Back
Top Bottom