JCB 'azingua' Arusha leo

Joined
Dec 10, 2011
Posts
78
Reaction score
21
Jcb leo azingua stagini baada ya kupanda jukwaani soweto na kusema hataki ma underground kupanda jukwaani wala kumpa hi., hali hiyo imeleta purukushani kubwa hadi watu kutupa mawe jukwaaani., nimepata xhance ya kuongea na underground mmojaa ambaye alijiandikisha lakini hakuitwa jukwaani akasema kwamba "jamaa anaogopa kufunukwa na maunderground"...!
 
kumuita JCB superstar ni kutomtendea haki,
simply JCB hajafikia hatua hiyo,bado yupo chini
 
Amesahau alipotoka kupata tuzo ya Kili anajiona superstaa, lakini watu wa Arusha atakoma kuringa
 
Hana kitu huyu jamaa kama nitamsifia basi nikuvuta bangi sana pale kweli zile studio zao pale Kijenge.
 
dah!!!mwanaaaa sithanii kamaa hiyo kauliiii unayosemaa ni yaukweliii,i was there...JCB hakutoa inyooo kaulii,ilaaa wasaniii na vijana wanao jiita maselaaa wengi ni maselaaa mavii 2,wat happen nikwambaa baazi ya under ground wa arachugaa ni wahunii tu na wavutaaa mashadaaaa hewani,pombeee now wanakulaa chalasi na teriii,wanasemaaa ni hip hop...walitaka kuaribu show kwa kuanzaa kuzinguana zinguana wenyewe kwa wenyeweeeeee
 
unadhani ntaandika kitu jf bila kuwa na uhakika..? Nilikuwepo tena bak stage.,usisingizie underground wakati jcb amekuja amelewa hajielewi., alikaa soweto bar toka mida ya asubuhi anazitwanga na nimeshuhudia hiyo., na hiyo statement kaiongea hadi batoo wa m.j fm akamuombea msamaha baada ya kushuka jukwaani.., au wewe ndo ulikuwa umelewa bab..,usitetee utumbo jomba..!
 
mbona amekiri kwamba ye ni underground kwenye you heard ya soudy brown amekana haikutokea

Anakiri kwa kujishtukia tu., uliza mtu aliyekuwepo pale., mm ni mmoja wao na nimemsikia na baadae watu walimdaka yuko pub moja maeneo ya philips alipoulizwa juu ya kauli yake akasema alikuwa amelewa hakumaanisha...! Hii ndio u heard ya ukweli
 
Kwel anaogopa kufunikwa coz wimbo aliopatia ni ukisikia pa! So naye ni kama underground 2

Wewee humjui JCB vizuri ana nyimbo nyingi saana kaanza hip hop since 1994 na walitoa albamu moja na kundi lao la hard core, huo wimbo ukisikia paah unaousikia ni remix orijino aliuimba 2007 katika albamu ya full ile laana mixtape vol 3. JCB ni miongoni mwa wasanii walioathirika na mchezo mchafu wa media za bongo. Hebu fuatilia nyimbo zake na za watengwa utamjua vizuri
 
ila kwa sasa maunderground wa chuga wamekuwa wangese sana chalasi, ganja na konyagi pori ndo wamefanya mpango mzima na hawataweza kuinuka mfano ni jambo squad, nako 2 beto, junior nako, wakudis, halisi, vatolocco wote ni wahuni hamna hip hop wanafanya JCB kuwaponda ni sawa tu hawana lolote
 
Mkuu Pukudu! nakubaliana sana na maelezo yako kuhusu JCB, Ni kweli JCB alikuwa noma!!! ila sijui kama umeshtukia siku za hivi karibuni toka apewe zile tuzo na CLOUDS FM(Kwa kujipendekeza na kuwa-diss machizi wa ukweli). Amekuwa akijitenga na harakati zozote zinazoanzishwa dhidi ya wanyonyaji wasanii...ikiwemo kuwa-diss na kuwaletea maringo machizi zake wa kitambo! akiwemo Spark Dog. Kama umesikiliza track zake za hivi karibuni kiwango chake kimeshuka sana! nadhani hili tatizo haliko kwake tu! liko kwa washkaji wengi wa bongo pindi wakipata mafanikio kidogo.
JCB kwa sasa ameolewa na demu wa kizungu kama ilivyo ada ya wasanii wengi wa hapa Arusha,,e.g Zigla na Gson wa Xplastaz, chindoman na wengineo!! Chindoman kabla ya kwenda US alimwachia JCB studio na Crew YA WATENGWA ikiwa juu hapa Arusha..lakini kutokana na Tabia za JCB kundi la WATENGWA sasa limegawanyika vipande..wengine wakibaki WaTENGWA na Wengine Wakijulikana kama MAJERUHI CREW!...
 

Kwekwekwekweee. Kwa hiyo unatulazimisha tumtambue jcb rasmi kama superstar?kwikwikwikwi. Kuanzia lini au mara tu baada ya kusoma post yako? Nyooo achilia mbali SS bado hajafiti kuitwa supercandle
 
JCB kiukweli bado underground, hivi nani kukiwa na show ya JCB peke yake ukumbini tena mkoa tofauti na Arusha anaweza kulipia kiingilio? Naweza kufanya hivyo kwa Fid Q, Prof J, Roma n.k lakini kwa JCB NO' labda awe msindikizaji show ya msanii mwingine.
 

Njoo Viavia au Masai camp chuga uone anavyopagawisha tena raia wa kigeni ndo Huwa wengi nyie ndo wale mnaipenda Hip Hop afu HipHop haiwapendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…