NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Sep 17, 2013 #21 NGANU said: Mkuu Revocatus Kashaga hajafungiwa kwa ajili ya penati aliyotoa bali kushindwa kuumudu mchezo kwa muda wote. Click to expand... kikubwa ni penalty hayo mengine mbwembwe tu yanga na simba wanauzika mpira wetu. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
NGANU said: Mkuu Revocatus Kashaga hajafungiwa kwa ajili ya penati aliyotoa bali kushindwa kuumudu mchezo kwa muda wote. Click to expand... kikubwa ni penalty hayo mengine mbwembwe tu yanga na simba wanauzika mpira wetu.
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Sep 17, 2013 #22 wanaihonga ni simba na yanga na si wengine.wakifungwa hukosi visingizio.
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 Sep 18, 2013 Thread starter #23 Mkuu taamu hata timu za AZAM na COASTAL zimeingia katika mchezo huo na ndo maana Eddo kumwembe alisema lazima kushinda. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mkuu taamu hata timu za AZAM na COASTAL zimeingia katika mchezo huo na ndo maana Eddo kumwembe alisema lazima kushinda.
Easyway JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 2,606 Reaction score 3,710 Oct 1, 2016 #24 Sikio la kufa
Easyway JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 2,606 Reaction score 3,710 Oct 1, 2016 #25 Martin Sanya unamshalilisha muajiri wako.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Oct 1, 2016 #26 Huyu jamaa afungiwe maisha
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Oct 2, 2016 #28 kumbe kuna mikia ilikua inamtetea huyu refa?
F faustine shija Member Joined Jun 17, 2016 Posts 73 Reaction score 37 Oct 2, 2016 #29 bado nasisitiza kiwa tufikiri zaidi ya kufikiri kama refa kagundulika kuwa na hatia je tff hana hatia? kwa nini tff hakuazibiwa badala yake timu ndiyo inaazibiwa? bila tff kuadhibiwa hawatajuaakosa yao
bado nasisitiza kiwa tufikiri zaidi ya kufikiri kama refa kagundulika kuwa na hatia je tff hana hatia? kwa nini tff hakuazibiwa badala yake timu ndiyo inaazibiwa? bila tff kuadhibiwa hawatajuaakosa yao