Je, Affidavit inatosha katika maombi ya ajira kwa wenye changamoto ya majina mawili?

Je, Affidavit inatosha katika maombi ya ajira kwa wenye changamoto ya majina mawili?

MUHAS.

Majima mawili nimeanza nayo form four, wakati naomba boom matokeo/cheti cha form 4 kilitumika(chenye majina 2).

Wakati na apply chuo(TCU enzi hizo), cheti cha form 4 kilitumika, majina 2 yakatumika.

Nilipopata nafasi kwenda Chuo, walinisajili kwa majina 2 kama waliyoyapokea kutoka TCU baada ya kupangiwa chuo na TCU.

Cheti cha kuzaliwa pia kilitumika kwenye stage zote hizo lakini hawakuongeza surname inayoonekana kwenye cheti cha kuzaliwa, walistick kwenye majina mawili.

Chuo baada ya kuni admit wakabaki na majina mawili hivyo hivyo, na waliokuwa na majina 3 nao waliendelea hivyo hivyo.

Majina 3 nayatumia kwa sasa nikiwa kwa mwajiri na sijaona changamoto yeyote.

Swali: Kumbe kuna vyuo vinakataa majina 2 kwa siku ? hili linaweza kuwa kweli sababu ya mfumo wa NIDA ambao unatambua majina 3 na NIDA inatumika sana siku hizih
Hakuna chuo kinakataa majina mawili kama hyo majina ndo yapo kwenye cheti chako. Au vyeti vyko vingne
 
Daaaaaaah nimejisikia Vibaya Kuona comment yako Bro. Ni Chuo gani hicho kinachotoa Cheti Kwa Majina mawili?
Ndugu unatakiwa ujielimishe mwenyewe usiwe mbishi. Vyuo vyote taarifa zake zinabase kwenye vyeti vyako vya mwanzo ulivyonavyo. Labda kama wewe ulijichanganya kwenye usajili. Kama cheti au vyeti vya mwanzo vina majina mawili watatumia majina mawili.. kama vyeti/cheti kina majina matatu watatumia matatu.
 
Ndugu unatakiwa ujielimishe mwenyewe usiwe mbishi. Vyuo vyote taarifa zake zinabase kwenye vyeti vyako vya mwanzo ulivyonavyo. Labda kama wewe ulijichanganya kwenye usajili. Kama cheti au vyeti vya mwanzo vina majina mawili watatumia majina mawili.. kama vyeti/cheti kina majina matatu watatumia matatu.
Usitake tuanze kubisha kuna Chuo Cheti cha NTA Level 8 ni lazima kiwe na Majina matatu haijarishi ilikuwa hakuna au ulikuwa na initial hawatoi cheti Bila Majina matatu yaliyokamilika. Ndy maana kabla ya Graduation wanatoa muda wa kupeleka DEED POLL au Nyaraka za kiserikali silizokubalika kutoa utambulisho wa Mtu km Passport ya Kusafiri, TIN Certificate , NIDA lkn sio Cha Mpiga Kura nje na hapo utagraduate mwakani Majina mawili hawatoi cheti
 
MUHAS.

Majima mawili nimeanza nayo form four, wakati naomba boom matokeo/cheti cha form 4 kilitumika(chenye majina 2).

Wakati na apply chuo(TCU enzi hizo), cheti cha form 4 kilitumika, majina 2 yakatumika.

Nilipopata nafasi kwenda Chuo, walinisajili kwa majina 2 kama waliyoyapokea kutoka TCU baada ya kupangiwa chuo na TCU.

Cheti cha kuzaliwa pia kilitumika kwenye stage zote hizo lakini hawakuongeza surname inayoonekana kwenye cheti cha kuzaliwa, walistick kwenye majina mawili.

Chuo baada ya kuni admit wakabaki na majina mawili hivyo hivyo, na waliokuwa na majina 3 nao waliendelea hivyo hivyo.

Majina 3 nayatumia kwa sasa nikiwa kwa mwajiri na sijaona changamoto yeyote.

Swali: Kumbe kuna vyuo vinakataa majina 2 kwa siku ? hili linaweza kuwa kweli sababu ya mfumo wa NIDA ambao unatambua majina 3 na NIDA inatumika sana siku hizi
Chuo nilichosoma kusoma na Majina mawili ni Ruksa lkn kuhitimu lzm yawepo yote Matatu
 
Usitake tuanze kubisha kuna Chuo Cheti cha NTA Level 8 ni lazima kiwe na Majina matatu haijarishi ilikuwa hakuna au ulikuwa na initial hawatoi cheti Bila Majina matatu yaliyokamilika. Ndy maana kabla ya Graduation wanatoa muda wa kupeleka DEED POLL au Nyaraka za kiserikali silizokubalika kutoa utambulisho wa Mtu km Passport ya Kusafiri, TIN Certificate , NIDA lkn sio Cha Mpiga Kura nje na hapo utagraduate mwakani Majina mawili hawatoi cheti
Watakufanyia wewe freshers. Ushwah kujiuliza mtu form four Ana tumia majina mawili, form six majina mawili, diploma majina mawili halfu akifika chuo kikuu alazimishwe majina matatu?? Hio level 8 ina uspecial gani. Labda kama mwanafunzi atake mwenyewe.

Historia ya majina mawili au matatu haimuliwi na wewe au chuo ni kutokana na nyarakq zako. Leo wakukubali kukusajili ukiwa na majina mawili halfu wakati wa kumaliza wakulazimishe..??si wangekukataa toka mwanzo??
 
Watakufanyia wewe freshers. Ushwah kujiuliza mtu form four Ana tumia majina mawili, form six majina mawili, diploma majina mawili halfu akifika chuo kikuu alazimishwe majina matatu?? Hio level 8 ina uspecial gani. Labda kama mwanafunzi atake mwenyewe.

Historia ya majina mawili au matatu haimuliwi na wewe au chuo ni kutokana na nyarakq zako. Leo wakukubali kukusajili ukiwa na majina mawili halfu wakati wa kumaliza wakulazimishe..??si wangekukataa toka mwanzo??
Hivi lkn unajua umuhimu wa Majina 3
 
Bila shaka ni chuo cha kati hicho.

Hii case sijawahi kuisikia kwenye vyuo vikubwa
Hiv Chuo cha Kati ndy Chuo cha haina gani wkt hapo nishasema NTA Level 8 ni Chuo gan cha Kati kinatoa hiyo Level
 
Wakuu mm jina langu la Kat kwenye vyeti vya shule yaan form four,na form six wamefupisha na kwenye nida yapo yote..mfano vyet vya shule James j wambura....na nida James junior wambura ....vipi apo kwenye mifumo ya ajira aitanileta shida
 
msajili wa hati na document yoyote kisheria yupo wizara ya ardhi, so iwe hati ya kiwanja ,iwe kusjili majina , iwe kusajili sijui document gani ni wizara ya ardhi sasa wewe jidanganye kachukue iyo avidavit yako kwa mwanasheria kama itatambulika watu wanataka wakiingia kwenye mafaili wakute kweli ulibadili au uliongeza jina na mafail yapo kwa msajili wizara ya ardhi iyo avidavit inaishia kwa mwanasheria uchochoroni
Ni kweli ipo hivyo but as a lawyer naona ipo wrong sana. Ilifaa RITA ndo ihusike issue ya kubadili jina.
 
na

nani kakwambia deedpoll ni kubadili jina mimi vyeti vyangu vinamajina mawili nilipoajiriwa ilibidi nichukur deedpol kuongeza jina la tatu lililopo kwenye kitambulisho deedpoll ndio inatambulika kisheria kwenye marekebisho ya majina sio avidavit wakuu mnapotoka
Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele

Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?
 
Wakuu mm jina langu la Kat kwenye vyeti vya shule yaan form four,na form six wamefupisha na kwenye nida yapo yote..mfano vyet vya shule James j wambura....na nida James junior wambura ....vipi apo kwenye mifumo ya ajira aitanileta shida
Ukipata jibu na mm Nina changamoto hii
 
MUHAS.

Majima mawili nimeanza nayo form four, wakati naomba boom matokeo/cheti cha form 4 kilitumika(chenye majina 2).

Wakati na apply chuo(TCU enzi hizo), cheti cha form 4 kilitumika, majina 2 yakatumika.

Nilipopata nafasi kwenda Chuo, walinisajili kwa majina 2 kama waliyoyapokea kutoka TCU baada ya kupangiwa chuo na TCU.

Cheti cha kuzaliwa pia kilitumika kwenye stage zote hizo lakini hawakuongeza surname inayoonekana kwenye cheti cha kuzaliwa, walistick kwenye majina mawili.

Chuo baada ya kuni admit wakabaki na majina mawili hivyo hivyo, na waliokuwa na majina 3 nao waliendelea hivyo hivyo.

Majina 3 nayatumia kwa sasa nikiwa kwa mwajiri na sijaona changamoto yeyote.

Swali: Kumbe kuna vyuo vinakataa majina 2 kwa siku ? hili linaweza kuwa kweli sababu ya mfumo wa NIDA ambao unatambua majina 3 na NIDA inatumika sana siku hizi
Mkuu achana nao awa ni Watoto wa 2000. Awawezi kuelewa kitu
 
Back
Top Bottom