ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hii ajali imetupa majonzi makubwa
Ajali hii imetupa funzo kuanzia kwenye chanzo, Kwa maana ujenzi na mamlaka zake
Uwajibikaji, hapa nazungumzia vibali vya kujenga majengo marefu, Ya nazingatia vigezo
Wakati wa ajali,
Watu kujaa kwenye majengo
Uzembe wakati wa uokoaji
Uokoaji ulitumia siku 8 na takribani Watanzania 29 wakapoteza maisha na majeruhi wengi zaidi
Tumejifunza?
1. Kudhibiti ajali kabla haijatokea
2 kuwawajibisha watu walifanya uzembe kujenga jengo lisilo na vigezo na kuruhusu litumike au tutawalea hawa wazembe
3. Kujiandaa Kwa majanga hasa vifaa vya kisasa vya kufanya uokoaji
Kuna baadhi ya ajali zilizotokea za kuzama vyombo vya majini na watu wakafa Kwa uzembe na hali kama hiyo ikajirudia Kwa ajali zilizofuata
Hii ajali ya kariakoo iwe funzo Kwa serikali na raia wote
Ajali hii imetupa funzo kuanzia kwenye chanzo, Kwa maana ujenzi na mamlaka zake
Uwajibikaji, hapa nazungumzia vibali vya kujenga majengo marefu, Ya nazingatia vigezo
Wakati wa ajali,
Watu kujaa kwenye majengo
Uzembe wakati wa uokoaji
Uokoaji ulitumia siku 8 na takribani Watanzania 29 wakapoteza maisha na majeruhi wengi zaidi
Tumejifunza?
1. Kudhibiti ajali kabla haijatokea
2 kuwawajibisha watu walifanya uzembe kujenga jengo lisilo na vigezo na kuruhusu litumike au tutawalea hawa wazembe
3. Kujiandaa Kwa majanga hasa vifaa vya kisasa vya kufanya uokoaji
Kuna baadhi ya ajali zilizotokea za kuzama vyombo vya majini na watu wakafa Kwa uzembe na hali kama hiyo ikajirudia Kwa ajali zilizofuata
Hii ajali ya kariakoo iwe funzo Kwa serikali na raia wote