Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
 
Ninacho sikitika ni namna chadema walivyo msahau mdee na kazi yake yote aliyo ifanya chadema
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?
Kwa nini Halima Mdee peke yake na sio wote?
 
Kwa nini Halima Mdee peke yake na sio wote?
jibu unalo ndugu, kwa kukusaidia tu ni kwamba kama Mdee angewaambia wenzake waombe msamaha wote wangepiga magoti na kulia mbele ya Baraza - lile kundi linamfuata Mdee anachokisema ndicho hicho. Unategemea yule dada aliyetoka gelezani usiku hadi kuapa asubuhi yake anajua nini kilichosemwa kabla ?
 
jibu unalo ndugu, kwa kukusaidia tu ni kwamba kama Mdee angewaambia wenzake waombe msamaha wote wangepiga magoti na kulia mbele ya Baraza - lile kundi linamfuata Mdee anachokisema ndicho hicho. Unategemea yule dada aliyetoka gelezani usiku hadi kuapa asubuhi yake anajua nini kilichosemwa kabla ?
Hanje Nusrat... ile mashine ni kisu hatari. CHADEMA msivyo na huruma hata mtoto mzuri kama yule mkamfutilia mbali... 😭😭 CHADEMA hamtaenda mbinguni.
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?
Watoto wa Mbowe tunawajua wana maisha ya kawaida sana tena sana tu. Angewatafutia watoto wake kazi za mshahara huo. Mbowe ana ndugu kibao kule kijijini kwao wangekuwa angewapeleka huko.
Huu uongo unasaidia nini??
 
JF kuna maboga kwelikweli, watu wanachangia mjadala bila kuusoma mjadala wakauelewa, huo mshahara si kwa kazi Tanzania, ni nje ya nchi.
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Mbowe anajuwa jinsi ya kuongozana na Nyumbu msituni.
 
jibu unalo ndugu, kwa kukusaidia tu ni kwamba kama Mdee angewaambia wenzake waombe msamaha wote wangepiga magoti na kulia mbele ya Baraza - lile kundi linamfuata Mdee anachokisema ndicho hicho. Unategemea yule dada aliyetoka gelezani usiku hadi kuapa asubuhi yake anajua nini kilichosemwa kabla ?
Kwa hiyo hiyo ajira ilikuwa ya kuwasaidia wote 19?
 
Back
Top Bottom