Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

Je, Ajira ya Tsh 34m kwa mwezi ilikuwa sawa na rushwa kwa Halima Mdee? Alikuwa sahihi kuikataa?

mbowe ana biashara ya mahotel haitaji vijisenti unaijua machame protea hotel ni five star ile au nasema uongo ndugu zanguuuuuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kama ajira bado ipo si amfanyie mpango tu, maana sasa hv yuko kijiweni, muda mwafaka kabisa.
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.

Mbowe hana utimamu
 
walikwenda nairobi wanawake wawili mdee na shoga yake kwa nini amtafutei kazi mdee tu na huyu mwingine hakutafutiwa huu ni uongo 2) je ukiisha mpa kazi mdee ina maana wale 18 wabunge waliobaki hawaathiri chadema aliyekuawa anamadhara kwa chadema ni mdee tu?
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
C angemtafutia mwanae James
 
walikwenda nairobi wanawake wawili mdee na shoga yake kwa nini amtafutei kazi mdee tu na huyu mwingine hakutafutiwa huu ni uongo 2) je ukiisha mpa kazi mdee ina maana wale 18 wabunge waliobaki hawaathiri chadema aliyekuawa anamadhara kwa chadema ni mdee tu?
Sultan Mbowe ni shida
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Yaani makapi ya kayafa bado tu hayajaisha kuungua !!
 
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;

1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?

2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?

3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?

4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?

5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?

Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Je magufuli hakumkomoa Mbowe na CDM??kwa nini Nusrat hanje atoke jela usiku,aapishwe asubuhi???magu bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.

Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe

Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.

Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?
Mm nimesoma na zitto hata suti ya kwanza alimnunulia mbowe
 
Back
Top Bottom