Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Uingereza, South na Dubei ana hoteli zakembowe ana biashara ya mahotel haitaji vijisenti unaijua machame protea hotel ni five star ile au nasema uongo ndugu zanguuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uingereza, South na Dubei ana hoteli zakembowe ana biashara ya mahotel haitaji vijisenti unaijua machame protea hotel ni five star ile au nasema uongo ndugu zanguuuuuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mbowe ana biashara ya mahotel haitaji vijisenti unaijua machame protea hotel ni five star ile au nasema uongo ndugu zanguuuuuu
Amechelewa, inamaana hiyo nafasi inamsubiri yeye pekee? ataendelea kuwa Mbunge wa SpikaKama ajira bado ipo si amfanyie mpango tu, maana sasa hv yuko kijiweni, muda mwafaka kabisa.
Vimada wa mzee hao.Unajua cv za hao wabunge wengine 18?
Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;
1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?
2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?
3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?
4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?
5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?
Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Ndogo sana kwakeKwa akili yako huyo Mbowe hataki hiyo Ajira ya Mil 35 kwa mwezi??
Hapa umetupiga kamba, hii hotel sio hadhi ya 5starsmbowe ana biashara ya mahotel haitaji vijisenti unaijua machame protea hotel ni five star ile au nasema uongo ndugu zanguuuuuu
Mbunge anafikia hiko kipato kwa mwezi?? Au hata waziri??Ndogo sana kwake
Inategemea na urefu wa kamba yakeMbunge anafikia hiko kipato kwa mwezi?? Au hata waziri??
C angemtafutia mwanae JamesWakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;
1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?
2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?
3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?
4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?
5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?
Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
Sultan Mbowe ni shidawalikwenda nairobi wanawake wawili mdee na shoga yake kwa nini amtafutei kazi mdee tu na huyu mwingine hakutafutiwa huu ni uongo 2) je ukiisha mpa kazi mdee ina maana wale 18 wabunge waliobaki hawaathiri chadema aliyekuawa anamadhara kwa chadema ni mdee tu?
Hana kazi?C angemtafutia mwanae James
Yaani makapi ya kayafa bado tu hayajaisha kuungua !!Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;
1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?
2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?
3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?
4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?
5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?
Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
nyota ngapi mkuuHapa umetupiga kamba, hii hotel sio hadhi ya 5stars
Je magufuli hakumkomoa Mbowe na CDM??kwa nini Nusrat hanje atoke jela usiku,aapishwe asubuhi???magu bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu nimetuliza sana akili na kufikiria kauli ya Mbowe kwamba alimwomba aachie ubunge kwa madai kwamba tayari alishamtafutia ajira ya kulipwa USD 15000 kwa mwezi. Kuna maswali kadhaa nimejiuliza nikaona nilete thread hapa huenda tukapata majibu yaliyojaa facts toka kwa wafuasi wa Chama Cha Mbowe na wasio wafuasi;
1. Kwanza kwanini iwe ajira kwa Mdee peke yake? Wengine hawakuwa na umuhimu? Ina maana mwenyekiti ana watu muhimu na wasio na umuhimu kwenye chama?
2. Kwanini amtafutie ajira kwa nia ya kumwachisha ubunge ambapo baadae ingembidi mwenyekiti amweke mtu mwingine? Si angemsamehe bila masharti ya kuachia ubunge kama alishaona shida ya Mdee ni njaa?
3. Kwanini awe na huruma kiasi kwamba amtafutie ajira ya 34m ili kuacha ubunge wake ambao mshahara haufiki hata 20m?
4. Mbowe haoni kama kimaadili inaleta ukakasi na kufanya watu waone nae anafanya kitu kilekile kinachoitwa kununua watu?
5. Je, kwa kauli ya Mbowe kutaka kuhusisha hadi fedha anawapa uhalali wanaosema chuki dhidi ya kina mama 19 imetokana na Mbowe kushindwa kupachika majina yake kwenye viti maalum?
Maswali ni mengi ila hayo yanatosha. Kimsingi hadi sasa hivi kwa upande wangu Mbowe hana tofauti na watu wanaofanya siasa zenye rafu nyingi.
34ml🙄 kwa mwezi,namlaumu sana mdee kuukataa huo mshahara
Mm nimesoma na zitto hata suti ya kwanza alimnunulia mboweMbowe kwa Mdee, Zitto Mnyika ni kama baba yao, hawa aliwanyenyua toka wakiwa chuo, wakaingia Bavicha huku akiwapa pocket money na kuwajenga kiuchumi, kifikra na kwajengea kujiamini - ilikuwa ni project - building capacity.
Leo hii wote hawa waliopitia mikononi mwa Mbowe wako vizuri ni jambo la kumsifu mh. Mbowe
Mbowe alikuwa anajaribu kumwokoa Halima na ajira ya damu ya Jiwe, akaona ampatie kazi maana huenda maisha bila ubunge yangekuwa ni magumu kwake.
Sasa kumtafutia kazi Mdee ni sawa na wewe mtoa hoja kumtafutia kazi mwanao - unaita rushwa ?