Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ni balaa..imagine someone close to me kakopa nmb m7 ila jumla ya marejesho ni 12m ..yan karibia interest ni karibia 100% in five years.
Hatar
Hatar tena nilisahau yule anarudisha zaid zaid ya 12mDuh...maisha haya...wizi wa hali ya juu sana huu
Hatar tena nilisahau yule anarudisha zaid zaid ya 12m
Maana iko hiv.
Slary slip yake inaonyesha makato ya mwezi ni 271,000/=
Kwa mwaka mmoja 271000x12= 3,252,000/=
Kwa miaka mitano 3,252,000x5= 16,260,000/=
Hapo hiyo 7m alochukua bado hak9upewa yote kuna kitu sijui wanaita nn wakamkata asilimia kadhaa..
Nikamuonea huruma sanaa.
I saw the slip myaelf
Ahaahh.Nadhan ndo processing fee! Hatari sana sheikh..mie napambana na vibubu tu😉
Yaani hela imekuwa ngumu sana...!Ahaahh.
Angalia kibubu hicho kimezua mambo arusha hukooo
Ahahahqh.Ahsante kwa kututia moyo kana kwamba na ww unahusika!!...Yaani hela imekuwa ngumu sana...!
Tena nilikua napanga nikupige kizinga ujue..sijaomba siku nyingi nahis km asili yangu ya uanamke inapotea!..raha ya mwanamke kupewa hela..tusipopewa tunajihisi kupwaya najihis kupwaya mnoo(rejea maongezi yetu ya week ilopita😉)uamini nisemayo!Ahahahqh.Ahsante kwa kututia moyo kana kwamba na ww unahusika!!...
Ahahaha..utanifanya nikavunje bank za watu usiku huu ujue?!Tena nilikua napanga nikupige kizinga ujue..sijaomba siku nyingi nahis km asili yangu ya uanamke inapotea!..raha ya mwanamke kupewa hela..tusipopewa tunajihisi kupwaya najihis kupwaya mnoo(rejea maongezi yetu ya week ilopita😉)uamini nisemayo!
Airtel inapokea na halotel pia as well😊!
Ahahaha..utanifanya nikavunje bank za watu usiku huu ujue?!
Ahahahhah we Wangari MaathaiVunja tu boss kwan nn bwana .hv hajambo yule kipenzi cha wadada wa SA?🤔..
😅😅😅karibu despa mkuu!
We upande huo enjoy to the fullest wakat mi huku napambana na kero za folen.😅😅😅karibu despa mkuu!
Kero ya jiji hilo ni foleni tu...pole!We upande huo enjoy to the fullest wakat mi huku napambana na kero za folen.
Ahahahah
Access mkuu usikope, wanajua kudai haooMie mwenyewe jana kuna mdada nimemit naye ( nimesoma naye o level) anafanya kazi Access bank...anajua mishe zangu ananing'angania nikakope had nimestuka ..haiwezekan kuna kitu...sema hatujui mahesabu yao ya compound interest hapo lazima tupigwe!
Hahahaaa, TPB hawafui dafu, unajua loan officers wa Access wanalipwa mshahara fixed kidogo+commissions,[emoji1787][emoji1787]!...sina huo mpango...! Dah ...hawafiki kwa TPB
Halafu Access wanashawishi sana watu wakope, yani mtu kukualika lunch ili akupige kiswahili ukope ni moja ya mbinu ya kuwanasa wakopaji[emoji1787][emoji1787]!...sina huo mpango...! Dah ...hawafiki kwa TPB
Halafu Access wanashawishi sana watu wakope, yani mtu kukualika lunch ili akupige kiswahili ukope ni moja ya mbinu ya kuwanasa wakopaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinikumbushe nlikopa nmb mil 7 afu nirudishe mil13....sema ndo hivo nlikua nna shida ya kufa mtu....ila naomba sana nsipate shida nikarud tuna kwenye mabenk niishie hukuhuku saccosHalaf imekaa kiwiz wiz kinomaaaaaa.Kiwizi vibyaaaa snaaaaaaa.
Kuna siku wife aliomba niongozane nae akachukue mkopo bancABC.
Nikaenda nae nika cheel pemben nawasikiliza wanavyompa michanganu pale weeee.wife hesabu kidogo sio kipaji.Wakamwambia rate yao ya interest kuwa ni 30% kama sijasahau. Sasa 30% ikaonekana kama fare tu na mm huku pemben nikabonyeza calculator yangu.
Nikauliza marjesho kwa mwezi nikauliza time frane ya marejesho nikawapigia mahesabu wale ma banker halaf yakafuata maswal.Nadhan hawakutarajia .Biashara yetu ikaishia pale.
Sina uzoef sana na mikopo ya kibiashara lakin hii mikopo ya wafanyakazi ni WIZI WA MACHO MACHO. Shida zinawaendesha vibaya sana masikin hasa watumishi wa umma linapokuna suala la kukopa bank.NMB pia wapo.
NB
toka siku hiyo nikashauri wife ajiunge vikoba zilizo stable na utaratibu mzuri wa utunzaji pesa kwa mikopo yake hii ya kawaida ya 3m kushuka chini.