Je, akiomba mkopo Bodi ya Mikopo mwaka ujao anaweza kupata?

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Kuna jamaa yangu amemaliza Diploma ya IT 2012 huko Iringa, amehangaika na maisha huko mwaka huu ananiambia mwaka ujao anataka kuingia Bachelor ya kozi fulani nje ya IT pale Iringa University Je akiomba mkopo Bodi ya mikopo mwaka ujao anaweza kupata? Wazoefu njooni mtupe uzoefu afuatilie
 
Ndio, anaweza kupata kama ana vigezo vinavyotakiwa.
 
Ndio, anaweza kupata kama ana vigezo vinavyotakiwa.
Kigezo muhimu ni muda aliokaa tangu kumaliza hiyo Diploma... vyengine ni Mbwembwe tu... Anatakiwa asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano tangu amalize chuo... Pia mwakani ni mwaka wa uchaguzi Hivyo possibility ya kupata mkopo ni Set ya Real numbers... Yaani 99.9999999%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…