Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
NonsenseKuelekea mechi za Simba na Al ahly super league na Yanga na Al ahly CafCl.. Nafahamu washawai kupigwa Moja bila na Yanga. Goli la Canavaro sasa nawauliza watunza kumbukumbu hivi washawai kuifunga timu ya TZ goli tano
Wew ndio zuzu umeulizwa swali unajibu uharo... Jibu maswali vinginevyo tukuitie popoma mwenzio😅
Ipo.Kuelekea mechi za Simba na Al ahly super league na Yanga na Al ahly CafCl.. Nafahamu washawai kupigwa Moja bila na Yanga. Goli la Canavaro sasa nawauliza watunza kumbukumbu hivi washawai kuifunga timu ya TZ goli tano