Je, Ali Kiba kutumika tena na Clouds kuinusuru Fiesta na kudoda?

Je, Ali Kiba kutumika tena na Clouds kuinusuru Fiesta na kudoda?

Hivi kuna msanii ambaye hajawahi kutumika.. hao WCB mbona na wao wametumika sana mpaka kuwa hapo walipo leo" Mtoa mada hata raisi wa nchi huwa anawekwa madarakani na kundi la watu wajanja " kwaajili yakuwatumikia" na kulinda maslahi yao'... kwa hiyo kama AK anatumika hilo lisikutishe ndio destruri ya Maisha ilivyo" kila boss ana boss wake....

though mbona Hizi content za kuwaaminisha watu kuwa clouds imepoteza mvuto zimezidi sana mitandaoni "... nani ambaye amewatuma mfanye hiyo kampeni""?? .... kiuhalisia mbona sisi tunaona kabisa kuwa influence ya clouds bado iko pale pale".... ila ni ukweli uliowazi sasa hivi wana kabiliwa na changamoto ya hilo tamasha lao".. toka EFM ambao nao wanafanya matamasha nchini ...
 
Hivi kuna msanii ambaye hajawahi kutumika.. hao WCB mbona na wao wametumika sana mpaka kuwa hapo walipo leo" Mtoa mada hata raisi wa nchi huwa anawekwa madarakani na kundi la watu wajanja " kwaajili yakuwatumikia" na kulinda maslahi yao'... kwa hiyo kama AK anatumika hilo lisikutishe ndio destruri ya Maisha ilivyo" kila boss ana boss wake....

though mbona Hizi content za kuwaaminisha watu kuwa clouds imepoteza mvuto zimezidi sana mitandaoni "... nani ambaye amewatuma mfanye hiyo kampeni""?? .... kiuhalisia mbona sisi tunaona kabisa kuwa influence ya clouds bado iko pale pale".... ila ni ukweli uliowazi sasa hivi wana kabiliwa na changamoto ya hilo tamasha lao".. toka EFM ambao nao wanafanya matamasha nchini ...
Watanzania Huwa tuna chuki za ajabu sana Mkuu!
Wanasema imepoteza mvuto wakati matangazo ya biashara ndo yqnazidi kutiririka!

Ukimuuliza ametumia kigezo kipi kusema imepoteza mvuto anabaki kuweweseka Na kuhisi Wewe ni mfanyakazi wa clouds!
 
Watanzania Huwa tuna chuki za ajabu sana Mkuu!
Wanasema imepoteza mvuto wakati matangazo ya biashara ndo yqnazidi kutiririka!

Ukimuuliza ametumia kigezo kipi kusema imepoteza mvuto anabaki kuweweseka Na kuhisi Wewe ni mfanyakazi wa clouds!
Mkuu bongo " ukifanikiwa tu ".. tayari unakuwa adui wa masikini .. watu wa taifa hili tunashida sana Aisee
 
Wewe wenzako wanafanya biashara upo hapa unacomment ili iweje? Inakusaidia nini kucomment hapa wakati wenzako hizo show ndizo zinazowaingizia pesa? Au nawewe ukicomment kuhusu fiesta unaingiza pesa? Acha kujifanya mjuaji mkuu hili ni jukwaa husika "a proper forum" kwa mambo haya.
Juzi nilikuwa Moro Fiesta ilikuwa nyomi ya kufa mtu, sijui umetumia vigezo gani kusema imedoda...
 
Mkuu bongo " ukifanikiwa tu ".. tayari unakuwa adui wa masikini .. watu wa taifa hili tunashida sana Aisee
Msisahau na hapa
IMG_20181003_082100_006.jpg
 
Back
Top Bottom