mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Askari mzungu alipomuua bwana Floyd dunia ililipuka na kudai ule ni ubaguzi kwakuwa ulitoka kwa mweupe kwenda kwa mweusi
Je tukio la Jana la Tff kumkataza Barbara (mzungu) kuingia uwanjani sio ubaguzi wa rangi kwa Barbara?
Au ubaguzi ni lazima abaguliwe mweusi??
Je tukio la Jana la Tff kumkataza Barbara (mzungu) kuingia uwanjani sio ubaguzi wa rangi kwa Barbara?
Au ubaguzi ni lazima abaguliwe mweusi??