Je alichofanyiwa Barbara sio ubaguzi wa rangi?

Jukwa la VVIP ni kwa ajili ya maofisa waliopewa kadi tu.
Hii sio harusi eti useme tu ukija na kadi ya bibi yako uitumie wewe kwa niaba yake mbaya zaidi dada enu alileta watoto ambao hawana sifa kabisa ya kuwepo jukwaa hilo la maofisa.

Lia-lia FC mnajitia aibu mnoo maana mmewekeza nguzvu zenu kwenye swala la babra kupanic na kususa kuingia uwanjani na swala la nembo ya Gsm while team yenu imetoboka.
 
Sawa Sisi tupo Kimataifa
Wenzetu na timu isiyotoboka hamuonekani Kimataifa Mwaka wa Kumi huu.
Kwa taarifa yako baada ya Kuondoka Bosi wa Simba.

Watoto walionekana wamekaa huko jukwaa la VIP.
Kuna mstaafu mmoja alikuwa na wajukuu zake hapo na hakusumbuliwa.

Nawapongeza kwa kuwa na timu Bora sana misimu yote hii.
Timu ya Yanga.

Tokeni povu lote
Nembo ya GSM hatuvai.
Wavalisheni hao hao Biashara United, Namungo na Ihefu fc.
 
Yani wa kimataifa hamhesimu procedures ndogo kabisa za kuingia jukwaani?
 
Wewe jamaa mbona Ni Kilaza Sana? Unashindwa kutofautisha Kati ya VVIP na VIP?

VIP Ni Category ambayo kila mwenye pesa ndefu anaweza kukata tiketi zake na kuingia na Familia nzima.

VVIP Ni Category ambayo Maafisa wa TFF,Coaches na Viongozi wa Timu pekee huruhusiwa kukaa. Mtu yeyeote ambaye Hana wadhifa kwenye Club zinazoshindana au TFF hata Kama anapesa kiasi gani haruhusiwi kuingia VVIP.
 
Kwa hiyo Barbara akae VIP na watoto wake wakakae huko changanyikeni? Usalama wa watoto nani ataangalia? Vipi haki ya watoto kuambatana na wazazi wao kwenda kwenye viwanja vya michezo? Magori nae vipi alikuwa na watoto?
Huwa anaenda nao kazini?! Kwanini asimkatie tiketi ya VIP huyo anayewaangalia watoto wakati yeye akiwa kazini ili huyo Mlezi ndo aende uwanjani na hao watoto?! Au kwanini yeye mwenyewe asingekata tiketi za VIP ili akakae na hao watoto na badala yake atake akakae nao wanapokaa wageni waalikwa?
 
Kisa hapo ni bvrbvr kugomea matangazo ya GSM ilhali wamesaini mkataba na kimyakimya.

Hivi kama GSM anataka kudhamini vilabu kwanini vilabu hasa mhasimu wake Simba hakuvishirikisha?
Na Kim Paulsen ambae nae alizuiwa kuingia kwa sababu alikuwa amevaa pensi nae ni kwa sababu ya GSM, au?! Kwanza acheni kudanganya watu! Hakuna afisa wa Simba anayeweza kukataa kwenda Derby! Na kama wapo, kwanini hizo tiketi hawakupewa maafisa wengine wa klabu na badala yake anaamua kuwapa watoto?! Pale ni VVIP, na kuna maafisa kibao tu ambao huwa hawapewi hizo tiketi! Sasa badala ya kuwapa maafisa wa klabu, unaenda kuwapa watoto!!!! Na Privaldinho aliweka hii screenshot


Sasa unaona kabisa utaratibu wa TFF ndo huo hapo kwamba watoto hawaruhusiwi hapo VVIP; sasa how come tena yeye anataka kwenda na watoto?! Halafu tofautisha kati ya VIP na VVIP! VIP watu wanakata tiketi, na unaweza kwenda pale na watoto wako wote, hadi na wa ndugu zako uliowaacha kijijini kwetu! VVIP ni tiketi zinazotolewa kwa mwaliko, na kwa watu maalumu tu!! Haya mambo ya tiketi yako unampa mtoto wa dada ni mambo ya kishamba na uswahili kwa sababu kama unaona huwezi kuhudhuria event, ustaarabu ni kuwajulisha mapema waandaji ili nafasi ziwe allocated kwa watu wengine!!
 
Kilaza mwenyewe
Simba ilikuwa inacheza nyumbani kwanini mumnyanyase C.O wetu.

Kama alikuwa na watoto ilibidi itumike busara kumwelewesha na sio kumghasi.

Magoli pia alifanyiwa fujo na akashindwa kukaa jukwaa la VIP naye alikuwa mtoto ?

Narudia tena
Kilaza mwenyewe
Jinga kabisa
 
C.O [emoji735]

C.E.O [emoji736]
 
Naona baby wake kakasirika katoa 2bil na kuanzisha harambee za kutengeneza uwanja.

Na sasa hivi kila kitu utawasikia "GSM hao.......".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…