1120ulimwengu
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 252
- 422
Habari wakuu!Naomba kupata CV na biography full ya mbunge ALLY MAKOA ambaye ndio mwenyekiti wa kamati ya maadili,haki na madaraka ya bunge.Nadhan ni vizuri kumuelewa bwana huyu kwakuwa wenyeviti kadhaa wa kamati hii waliopita walijitahidi sana kulinda majina yao katika maamuzi kama George Mkuchika,Emmanuel Mwakasaka nk.
Maspika wamekuwa wakiitumia kamati hii kuadhibu,kudhalilisha na kutweza utu wa wasema ukweli.Job Ndugai aliitumia kamati hii kumtweza CAG wa wakati huo Prof.Mussa Asad kwa kusema bunge ni dhaifu akirejelea udhaifu wa bunge kutochukua hatua juu ya ubadhirifu uliobanika kwenye ripoti.Pia alifanya hivyohivyo kwa Halima Mdee kwa eti kuunga mkono maneno ya Asad!Ndugai pia alimtweza Makonda kwa kumuita katika kamati hyohyo kufuatia kauli yake kwamba wabunge husinzia bungeni(kitu ambacho actually hata mtoto wa darasa la tatu anajua wabunge husinzia bungeni)!Wenyeviti wa wakati huo at least walikuwa na soni..huyu Makoa anaonekana ni pushover sana kufuatia sakata la MPINA.Naomba kumfaham
Maspika wamekuwa wakiitumia kamati hii kuadhibu,kudhalilisha na kutweza utu wa wasema ukweli.Job Ndugai aliitumia kamati hii kumtweza CAG wa wakati huo Prof.Mussa Asad kwa kusema bunge ni dhaifu akirejelea udhaifu wa bunge kutochukua hatua juu ya ubadhirifu uliobanika kwenye ripoti.Pia alifanya hivyohivyo kwa Halima Mdee kwa eti kuunga mkono maneno ya Asad!Ndugai pia alimtweza Makonda kwa kumuita katika kamati hyohyo kufuatia kauli yake kwamba wabunge husinzia bungeni(kitu ambacho actually hata mtoto wa darasa la tatu anajua wabunge husinzia bungeni)!Wenyeviti wa wakati huo at least walikuwa na soni..huyu Makoa anaonekana ni pushover sana kufuatia sakata la MPINA.Naomba kumfaham