Je, amani ya ulimwengu itadumu 2024?

Je, amani ya ulimwengu itadumu 2024?

nashika

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
400
Reaction score
489
Heri ya mwaka mpya!

Mwaka unaanza kwa wababe wa dunia kutunishiana misuli pale red sea huku russia akishambuliwa belgorod na huku mitambo ya Urusi ndani ya Syria ikitungua makombora ya Israel na wakati huo huo wairan wamepeleka destroyer red sea hapohapo wamarekani wameshambulia speed boat ya wahouth.

Je, amani ya ulimwengu itasalimika 2024?

Sie Waafrika tunaomba kwa mungu salama na amani in 2024 ili tufute umasikini wa watu wetu wakati wengine wakijitahidi kuharibiana nchi zao.
 
Hadi tuangalie mpango mkakati wa shetani kwa mwaka huu umekaaje wa mwaka 2023 alifanikiwa pakubwa
 
Haiwezidumu kwa sababu hata hivyo 2023 haikuwepo.

Amani ya ulimwengu haiwezi kuletwa na mipango mikakati ya watawala wa dunia hii kuanzia wa kidini hadi wa kisiasa.

Lakini ukiniuliza swali la amani ya ulimwengu nitakujibu itakuwepo hapo tu dhambi itakapo ondolewa.

Tofauti na hapo jibu linabaki kuwa
'HAPANA AMANI KWAO WATENDAO MAOVU'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri ya mwaka mpya!

Mwaka unaanza kwa wababe wa dunia kutunishiana misuli pale red sea huku russia akishambuliwa belgorod na huku mitambo ya Urusi ndani ya Syria ikitungua makombora ya Israel na wakati huo huo wairan wamepeleka destroyer red sea hapohapo wamarekani wameshambulia speed boat ya wahouth.

Je, amani ya ulimwengu itasalimika 2024?

Sie Waafrika tunaomba kwa mungu salama na amani in 2024 ili tufute umasikini wa watu wetu wakati wengine wakijitahidi kuharibiana nchi zao.
Hapo Mashariki ya Kati lazima paumane sana, hadi 666 ajidhihirishe
 
Back
Top Bottom