Je, ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?

Je, ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?

Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
Mshahara umetoka na jina langu lilikuwa kwenye orodha ya wanaopanda madaraja, mwezi wa 6 sikupanda nikitarajia kuwa mwezi huu nitapanda. Je ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?

Kwa mtakaoniuliza kuhusu barua; waliopanda daraja mwezi uliopita manispaa yetu ya Kinondoni walipewa barua baada ya mshahara kutoka. So namimi jina lilikuwa kwenye orodha ila barua hazikuja na ambao waliopanda walipewa barua baada ya kupanda.

Na mtakaosema watu hupanda kwa kutegemea bajeti naomba niwajulishe kuwa daraja huwa linapanda mwezi wowote. Ongezeko (increment) ya mshahara ndio huwa inafanyika mwezi wa 7 tu.

Swali hapa la msingi ni je kuna watu mmepanda ambao mlisubiri kupanda kama mimi?

Nafahamu inabidi niende kwa afisa utumishi ila nataka kwanza kujua kama tuliobaki kuna watu wamepansa au labda wote tutapandishwa baadae au taratibu?😊
 
Kama ulikuwa kwenye orodha ya kupanda daraja, hata usihangaike kwenda sijui kwa Afisa Utumishi wako, tulia endelea kufanya kazi ni suala la muda tu utapanda daraja na Utadai malimbikizo kuanzia mwenzi wa sita 2021, niamini ninacho kwambia.
 
Kama ulikuwa kwenye orodha ya kupanda daraja, hata usihangaike kwenda sijui kwa Afisa Utumishi wako, tulia endelea kufanya kazi ni suala la muda tu utapanda daraja na Utadai malimbikizo kuanzia mwenzi wa sita 2021, niamini ninacho kwambia.
Asante sana. Wacha nivute subira mkuu
 
Acha kebehi bhasi!
Mwenzio anapitia wakat mgumu we unaleta masihara ya kipuuz

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ili jamii iwe kamili watu kama hao hawakosekani. Naamini ana sababu ya kunijibu kwa kebehi..labda anapitia magumu kuzidi haya yangu ya kutopanda daraja😀🤣🤔🤗..So anaona ajifurahishe kwa kutuumiza wenzie ili tuwe level moja naye ya kujisikia vibaya
 
Mshahara umetoka na jina langu lilikuwa kwenye orodha ya wanaopanda madaraja, mwezi wa 6 sikupanda nikitarajia kuwa mwezi huu nitapanda. Je ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?

Kwa mtakaoniuliza kuhusu barua; waliopanda daraja mwezi uliopita manispaa yetu ya Kinondoni walipewa barua baada ya mshahara kutoka. So namimi jina lilikuwa kwenye orodha ila barua hazikuja na ambao waliopanda walipewa barua baada ya kupanda.

Na mtakaosema watu hupanda kwa kutegemea bajeti naomba niwajulishe kuwa daraja huwa linapanda mwezi wowote. Ongezeko (increment) ya mshahara ndio huwa inafanyika mwezi wa 7 tu.

Swali hapa la msingi ni je kuna watu mmepanda ambao mlisubiri kupanda kama mimi?

Nafahamu inabidi niende kwa afisa utumishi ila nataka kwanza kujua kama tuliobaki kuna watu wamepansa au labda wote tutapandishwa baadae au taratibu?😊
Samahani nikuulize umeajiriwa lini au last prom yako ilikuwa lini??
 
Back
Top Bottom