Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ukisoma maandiko matakatifu kwenye kitabu cha kutoka 20:13 utaona mwenyezi Mungu amekataza bana Israel kuua
Napenda kujua mwanadamu anayeua mwanadamu mwenzake atahesabiwa hatia au dhambi sawasawa na yule aliyeua viumbe wengineo kama pekee majni?
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu
Ukisoma maandiko matakatifu kwenye kitabu cha kutoka 20:13 utaona mwenyezi Mungu amekataza bana Israel kuua
Napenda kujua mwanadamu anayeua mwanadamu mwenzake atahesabiwa hatia au dhambi sawasawa na yule aliyeua viumbe wengineo kama pekee majni?
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu