Best,,mi nakushauri umuoe tu.
Haya mambo sometime ni kama laana kucheza na maisha ya mtu, huwez jua itamuathiri kiasi gani..!pia wanawake ni haohao tu!! Unaweza kuja kuoa kimeo tena zaidi...sasa sijui utafanyaje,,yani in short hakuna mtu aliyekamilika ,, so basi jitahid kwenda nae taratibu mwanadam ni rahisi kubadilika.
N.b mshirikishe mungu kwa hili.