The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Akushtaki kwa lipi? kama ni kwa kumpa mimba binti yake akiwa shule kwani hakushtaki kipindi hicho? kwa sababu umesema kuwa ana uwezo kuliko kwenu, basi anaweza kumwaga mboga tu, ukajikuta unanyea debe bila kufikishwa hata polisi.
Ila mkuu, kitendo cha kumzalisha binti wa watu then unasema huwezi kumuoa, itaku-cost siku za usoni, hakuna mtu anayetaka mwanae aalibiwe.
Ila mkuu, kitendo cha kumzalisha binti wa watu then unasema huwezi kumuoa, itaku-cost siku za usoni, hakuna mtu anayetaka mwanae aalibiwe.