WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Habari WanaJF,Poleni na majukumu ya kujenga taifa.
Mimi ni mhitimu kutoka chuo kimoja hapa nchini.Nikiwa likizo ya mwaka wa kwanza nilienda likizo kijijini kwetu,kule nilikutana na mdada katika mazingira ya kutofikiria kabisa nikalala nae.Bahati mbaya alipata ujauzito,huyo dada wakati ule ndo alikua amebakiza miezi miwili kuanza NECTA form four.Aliniomba hela ili aitoe ile mimba mimi nilikataa coz nilidhani mambo ndo yangeharibika zaidi kwa sababu anaweza kufa wakati wa kutoa mimba.Yule dada alipoona simpi hela ya kutolea mimba,alijitahidi akafanya mtihani mpaka akamaliza,baada ya kumaliza alitoka kwao na kwenda kuishi kwa wazazi wangu,mimi baada ya kuona hivyo nilikaa kimya tu coz ile mimba ilianza kuhudumiwa na wazazi wangu.
Mwaka juzi alijifungua salama akiwa kwa wazazi wangu,kusema ukweli yule dada sikua nimejiandaa kuishi nae,lakin baada ya kumpa ujauzito na akijifungua nikaona nimwendeleze kielimu kupitia resources za kwao coz kwao wanauwezo zaidi kuliko kwetu,tulielewana vizuri na tukakubaliana ila nikamwambia kua mimi nakusaidia kusoma tu ili upate upeo mpana wa kujitegemea na kupambana na changamoto za maisha yako hapo mbeleni lakin mimi sikuoi saiv kwa sababu halikua tegemeo letu! cha ajabu aliposikia hivyo alikataa kwenda shule na kung'ang'ania kwa wazazi wangu huku akidai haendi shule et nitamwacha.
Baba yake pia anatishia kuishitaki familia yetu na kudai fidia ya miaka aliyokaa mtoto wake kwetu,kiukweli mi najitahidi kugharamikia matunzo ya mtoto ila yeye nimesitisha kumhudumia na simtaki tena coz yeye hataki kwenda shule.Tatizo nalo hofia saivi baba yake akianzisha kesi,je anaweza anakanitia hatiani? Toka mtoto wake apate mimba mpaka leo sijawahi kurundi nyumbani na sijaonana nae kwa miaka mitatu mfululizo.
Naomba ushauri wa kisheria km ana haki ya kunishitaki kua nimekataa kumuoa kwa hiyo nimlipe fidia au la,ahsanteni na omba mawazo yenu jamani.
Mimi ni mhitimu kutoka chuo kimoja hapa nchini.Nikiwa likizo ya mwaka wa kwanza nilienda likizo kijijini kwetu,kule nilikutana na mdada katika mazingira ya kutofikiria kabisa nikalala nae.Bahati mbaya alipata ujauzito,huyo dada wakati ule ndo alikua amebakiza miezi miwili kuanza NECTA form four.Aliniomba hela ili aitoe ile mimba mimi nilikataa coz nilidhani mambo ndo yangeharibika zaidi kwa sababu anaweza kufa wakati wa kutoa mimba.Yule dada alipoona simpi hela ya kutolea mimba,alijitahidi akafanya mtihani mpaka akamaliza,baada ya kumaliza alitoka kwao na kwenda kuishi kwa wazazi wangu,mimi baada ya kuona hivyo nilikaa kimya tu coz ile mimba ilianza kuhudumiwa na wazazi wangu.
Mwaka juzi alijifungua salama akiwa kwa wazazi wangu,kusema ukweli yule dada sikua nimejiandaa kuishi nae,lakin baada ya kumpa ujauzito na akijifungua nikaona nimwendeleze kielimu kupitia resources za kwao coz kwao wanauwezo zaidi kuliko kwetu,tulielewana vizuri na tukakubaliana ila nikamwambia kua mimi nakusaidia kusoma tu ili upate upeo mpana wa kujitegemea na kupambana na changamoto za maisha yako hapo mbeleni lakin mimi sikuoi saiv kwa sababu halikua tegemeo letu! cha ajabu aliposikia hivyo alikataa kwenda shule na kung'ang'ania kwa wazazi wangu huku akidai haendi shule et nitamwacha.
Baba yake pia anatishia kuishitaki familia yetu na kudai fidia ya miaka aliyokaa mtoto wake kwetu,kiukweli mi najitahidi kugharamikia matunzo ya mtoto ila yeye nimesitisha kumhudumia na simtaki tena coz yeye hataki kwenda shule.Tatizo nalo hofia saivi baba yake akianzisha kesi,je anaweza anakanitia hatiani? Toka mtoto wake apate mimba mpaka leo sijawahi kurundi nyumbani na sijaonana nae kwa miaka mitatu mfululizo.
Naomba ushauri wa kisheria km ana haki ya kunishitaki kua nimekataa kumuoa kwa hiyo nimlipe fidia au la,ahsanteni na omba mawazo yenu jamani.