Je, ananipenda huyu mwanamke?

Je, ananipenda huyu mwanamke?

Sikia best huyo anakuogopa kusema kitu kilichopo moyoni ila ili uwe nauwakika anza hivi.
Mamboo uwe na asubuhi njema.
Umeshindaje uwe namlo mwema.
Nakutakia njozi njema basi.
Ukitaka kutuliza akili mtext je uko powa unaweza kuja nilipo basi mnabadilishana mawazo sio mapenzi tu bali hata future muwe mnaongelea pia pendeni kufanya viźuri kwenye masomo yenu hapo ndipo mtakuwa na nanafasi naujasiri wakuimarisha urafiki wenu mpaka mahusiano yenu.
Halafu humu ni Jf watu wa 100 hawajaandikiwa hivyo saw wanakuonea wivu.
Huko chuo wengi huoana nawanaosema unautoto waulize wao walipata wapi waume zao au wake zao shuleni ndio penyewe ukitoka bila ni ngumu kupata .
Take care use protection if is necessary you never know even vaa barakoa corona is real.
Maisha nikujipanga tu kila mahali unapaswa kujigawa.
 
Sikia best huyo anakuogopa kusema kitu kilichopo moyoni ila ili uwe nauwakika anza hivi.
Mamboo uwe na asubuhi njema.
Umeshindaje uwe namlo mwema.
Nakutakia njozi njema basi.
Ukitaka kutuliza akili mtext je uko powa unaweza kuja nilipo basi mnabadilishana mawazo sio mapenzi tu bali hata future muwe mnaongelea pia pendeni kufanya viźuri kwenye masomo yenu hapo ndipo mtakuwa na nanafasi naujasiri wakuimarisha urafiki wenu mpaka mahusiano yenu.
Halafu humu ni Jf watu wa 100 hawajaandikiwa hivyo saw wanakuonea wivu.
Huko chuo wengi huoana nawanaosema unautoto waulize wao walipata wapi waume zao au wake zao shuleni ndio penyewe ukitoka bila ni ngumu kupata .
Take care use protection if is necessary you never know even vaa barakoa corona is real.
Maisha nikujipanga tu kila mahali unapaswa kujigawa.
daah pamoja sana katoto kazuri nimekubari ila vipi nikimtongoza mda huu hau nisubiri subiri?
 
daah pamoja sana katoto kazuri nimekubari ila vipi nikimtongoza mda huu hau nisubiri subiri?
Hujamuanza amekuonyeshea nia siku zote ukitaka kumtega ndege usimtege kwa kurupuka utaumia bali kwa kwa akili ya ujanja style unayoitumia iongezee nguvu .
Sisi wanawake tunapenda kumjua mtu kwanza kama una miezi naye kama miwili mwambie kama utani hivi manka just imagine kwenye zile story zenu nimepata kazi na pia ndiyo nimekuoa kama mke wangu unaonaje??
Je Manka utakubali kuwa na mimi iwapo nitakuomba uwe mpenzi wangu??halafu kaa usikilizie majibu nambie usiogope niambie tu .
 
Hujamuanza amekuonyeshea nia siku zote ukitaka kumtega ndege usimtege kwa kurupuka utaumia bali kwa kwa akili ya ujanja style unayoitumia iongezee nguvu .
Sisi wanawake tunapenda kumjua mtu kwanza kama una miezi naye kama miwili mwambie kama utani hivi manka just imagine kwenye zile story zenu nimepata kazi na pia ndiyo nimekuoa kama mke wangu unaonaje??
Je Manka utakubali kuwa na mimi iwapo nitakuomba uwe mpenzi wangu??halafu kaa usikilizoe majibu mabie usiogope niambie tu .
daah sawa usjari tupo pamoja dada nashukuru sana🙏🙏
 
Yan kweli hawa ndo Ma Great thinker tulionao huku JF Mtu anakuja na uzi wa kuwaomba wadau tumsaidie kutongoza huu n ubwanyenye km cyo ukabaila mwanaume tafuta hela alafu wewe cyo siri utakua ni NJUKA la Chuo tena chuo cha Kata

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom