Je, anaweza kukidhi vigezo vya kuwa lecturer?

Je, anaweza kukidhi vigezo vya kuwa lecturer?

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
584
Reaction score
274
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second.

Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa kuclear Bachelor's degree a some degree nyengine hata open university ili asiharibu ratiba za kujiingizia kipato kutokana na umri, anataka akomae atoke na first class ili awe na sifa ya kufundisha chuo.

Sasa hapo Master itakua ndio imetangulia halafu Bachelor imefuata baadae je inakubalika hivi kwa vigezo vyao?
 
Kwa hiyo anarudi kinyumenyume,kama ana moyo baridiiii
 
Aachee kusumbukaa atafute master nyingine china au german au uk ya mwaka mmoja akirud ana first class yake nzur anaanza kufundisha hata open university kisha anaomba kuhamia chuo chochote anachokitakaaa cha serikali. Wenzake tulifanya hvyo sasa tunaendelea kufundisha ingawa bachelor degree GPA hazkukaa vzur
 
Aachee kusumbukaa atafute master nyingine china au german au uk ya mwaka mmoja akirud ana first class yake nzur anaanza kufundisha hata open university kisha anaomba kuhamia chuo chochote anachokitakaaa cha serikali. Wenzake tulifanya hvyo sasa tunaendelea kufundisha ingawa bachelor degree GPA hazkukaa vzur
Hii ndio kwanza naisikia mkuu, Master ya mwaka mmoja? Una apply kwa qualification za Bachelor's degree? Wanatoa fully funded scholarship?
 
Aachee kusumbukaa atafute master nyingine china au german au uk ya mwaka mmoja akirud ana first class yake nzur anaanza kufundisha hata open university kisha anaomba kuhamia chuo chochote anachokitakaaa cha serikali. Wenzake tulifanya hvyo sasa tunaendelea kufundisha ingawa bachelor degree GPA hazkukaa vzur
Halafu mbona vyuo hapa bongo wanakomaa lazima Uwe na GPA ya juu ya undergraduate hiki kigezo cha Master ya mwaka mmoja kufidia imekaaje hii? Idadavue kidogo
 
Halafu mbona vyuo hapa bongo wanakomaa lazima Uwe na GPA ya juu ya undergraduate hiki kigezo cha Master ya mwaka mmoja kufidia imekaaje hii? Idadavue kidogo

Wanakomaa kwa sababu ndo entrance consideration lakin ukianza kwenye vyuo ambavyo ni vidogo kisha ukaomba kuhamia vyuo vikubwa n rahis sana lakin viwe vya serikali
 
Hii ndio kwanza naisikia mkuu, Master ya mwaka mmoja? Una apply kwa qualification za Bachelor's degree? Wanatoa fully funded scholarship?

Inategemea na course Mkuu. Vyuo kibao china Master ni miez 12, 16, 18 au 24. Hata ujeruman kuna baadhi ya course masters ni mwaka mmoja tu. Scholarship n juhud zako kupambana na ni fully scholarship mfano mzur Daad scholarship au China Scholarship Council.
 
Inategemea na course Mkuu. Vyuo kibao china Master ni miez 12, 16, 18 au 24. Hata ujeruman kuna baadhi ya course masters ni mwaka mmoja tu. Scholarship n juhud zako kupambana na ni fully scholarship mfano mzur Daad scholarship au China Scholarship Council.
Interesting, sasa kwa nini ukasugest apige Masters nyengine? Kwanini isiwe ile ile moja tu akaombea vyuo vidogo vya serikali?
 
Interesting, sasa kwa nini ukasugest apige Masters nyengine? Kwanini isiwe ile ile moja tu akaombea vyuo vidogo vya serikali?

Bongo watu kibao wana masters moja moja but watu wachache wana masters zaid ya moja kwa hyo akiwa na mbili itamuweka kwenye advantage zaid kwenye vyuo vidogo lakin pia akitaka kuhama watamchukua kirahic maana tayar ametengeneza experience.
 
Bongo watu kibao wana masters moja moja but watu wachache wana masters zaid ya moja kwa hyo akiwa na mbili itamuweka kwenye advantage zaid kwenye vyuo vidogo lakin pia akitaka kuhama watamchukua kirahic maana tayar ametengeneza experience.
Basi si bora afanye PhD kabisa tu au
 
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second.

Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa kuclear Bachelor's degree a some degree nyengine hata open university ili asiharibu ratiba za kujiingizia kipato kutokana na umri, anataka akomae atoke na first class ili awe na sifa ya kufundisha chuo.

Sasa hapo Master itakua ndio imetangulia halafu Bachelor imefuata baadae je inakubalika hivi kwa vigezo vyao?
Kama hakuwa serious na shule kipindi hicho tutakua na uhakika gani kama tukimpa darasa afundishe atakua serious ma shule?
 
Bongo watu kibao wana masters moja moja but watu wachache wana masters zaid ya moja kwa hyo akiwa na mbili itamuweka kwenye advantage zaid kwenye vyuo vidogo lakin pia akitaka kuhama watamchukua kirahic maana tayar ametengeneza experience.
Ufundishaji wa chuo kikuu kinacho angaliwa na ni degree ya kwanza una gpa gani na sio una masters ngapi!!

Hata ukiwa na master 10 kama degree ya kwanza hukupata gpa ya 3.5 au 3.8 hufundishi chuo kikuu!
 
Interesting, sasa kwa nini ukasugest apige Masters nyengine? Kwanini isiwe ile ile moja tu akaombea vyuo vidogo vya serikali?
Mnaposoma degree ya kwanza mkiambiwa msome mnasema "gpa does not matter" sasa mmemaliza mnaona umuhimu wa gpa!!

Kwa chuo cha serikali kama huna atleast 3.8 sahau kufundisha chuo chochote cha serikali.
 
Ufundishaji wa chuo kikuu kinacho angaliwa na ni degree ya kwanza una gpa gani na sio una masters ngapi!!

Hata ukiwa na master 10 kama degree ya kwanza hukupata gpa ya 3.5 au 3.8 hufundishi chuo kikuu!

Endeleaaa kuotaa
 
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second.

Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa kuclear Bachelor's degree a some degree nyengine hata open university ili asiharibu ratiba za kujiingizia kipato kutokana na umri, anataka akomae atoke na first class ili awe na sifa ya kufundisha chuo.

Sasa hapo Master itakua ndio imetangulia halafu Bachelor imefuata baadae je inakubalika hivi kwa vigezo vyao?
Kuliko arudie Bora angefanya PhD. Ukiwa na PhD ktk taaluma husika hiyo undergraduate level hatuangalii. Naongea kwa uzoefu maana nimefanya hizo kazi.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kama hakuwa serious na shule kipindi hicho tutakua na uhakika gani kama tukimpa darasa afundishe atakua serious ma shule?
Aameonesha kujirekebisha na kuonesha userious katika Master's program aliyofanya matokeo First Class GPA
 
Mnaposoma degree ya kwanza mkiambiwa msome mnasema "gpa does not matter" sasa mmemaliza mnaona umuhimu wa gpa!!

Kwa chuo cha serikali kama huna atleast 3.8 sahau kufundisha chuo chochote cha serikali.
Huu ndio ukweli mchungu, hawataki kabisa kusikia mpaka yawakute
 
Back
Top Bottom