Jackson Sugwa
Member
- Oct 5, 2018
- 16
- 6
Hatimae muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Ankoo Zumo anaye igiza pamoja na Familia yake yaani Mwanae Maisala na Na mke wake (Mama yake Mai)
Ambaye amejipatia umaarufu sana nchini na hata nje ya nchi hatimae hatimae ameamua kuingia kwenye tasnia ya Muziki rasmi.
Nimekuwekea hapo chini video ya nyimbo yake ya kwanza na mpya kabisa inayoitwa "Naona raha"
Nakusihi chukua time yako kuitazama kisha utoe maoni yako.
Ambaye amejipatia umaarufu sana nchini na hata nje ya nchi hatimae hatimae ameamua kuingia kwenye tasnia ya Muziki rasmi.
Nimekuwekea hapo chini video ya nyimbo yake ya kwanza na mpya kabisa inayoitwa "Naona raha"
Nakusihi chukua time yako kuitazama kisha utoe maoni yako.