Je, Apple wanadanganya kuwa stolen iPhone haiwezi kutumika tena?

Je, Apple wanadanganya kuwa stolen iPhone haiwezi kutumika tena?

Ukitaka ujue , kinachoendela, iphones wanatoa updates kila muda mfupi, ambazo hazina tija,

Vijana wa IT wako kazini,hii Dunia iko mikononi mwetu,

IT Man running this funking world
Sema binadamu wengi hawapati Informations sahihi
Unachekesha, Dunia ya Teknolojia iko Mikononi mwa Software Engineers, Programmers, Computer Engineers, Computer Scientists, IT wewe ni msaidizi tu wa hao jamaa, utumie ulichoandaliwa na hao jamaa.

Ni sawa na Mtu wa PCB anayesoma BAM aseme yeye ni Mwamba wa Mahesabu mbele ya Mtu anayesoma Pure Advanced Mathematics.
 
Mimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu nikajua ku jailbreak iPhone na ku install Cydia (3rd part store).

Ilipotoka iPhone 5s ulinzi wa Apple ukaboreshwa, wakatangaza atakayeweza ku jailbreak iPhone 5s analipwa billion 6 za kitanzania..wahuni wakafanikiwa kujail break solution tukapata ikawa easy.

Ugumu ukawa kutoa iCloud lock,ukiokota iphone au kusahau password ya iCloud yako simu inakua KOPO.

ila akatokea mrusi anaitwa Vighor akagundua kitu kinaitwa DNS bypass..ukiingia Kwenye server yake, ukiwa USA unatumia server hii,

104.154.51.7
Africa;104.155.28.90

Kupitia servers hizo iPhone iliyoibiwa mwizi anaweza kutumia simu yako ila hatoweza kupiga simu Wala kutuma SMS..ni mwendo wa WiFi tu.

Solution hii inatumika Hadi leo (hata Kwenye latest iPhones).

Zilipotoka iPhone 7 ikagundulika njia ya ku bypass iCloud activation lock.

Means ukiibiwa simu mtu anatoa passcode kwa kutumia computer then ikitaka aweke iCloud yako,ana bypass activation lock,anatumia simu vizuri Kama yake,anaweka iCloud yake.anapiga simu,ana download apps. Mimi binafsi Nisha bypass iPhones zaidi ya 10 aina tofauti na iOS versions LATEST KABISA(sio za wizi kujifunza)..ila sharti usi restore simu. Ku bypass icloud activation lock inawezekana mara moja tu.

Swali; kwanini Apple wanasema simu ikiibiwa find my iPhone ikiwa ON mwizi hatoweza kuitumia??wakati hapa dar watu kibao wanatumia iPhones za wizi? icloud activation lock inarukwa? Apple hawajui?

Nachofahamu DNS BYPASS Apple wameshindwa kuifunga coz inatumia Captive portal, ambayo kama Apple akifunga haitowezekana ku activate hata simu ambazo sio za wizi.
Siku zote ni marketing na kudanganya Average user, ila hata wao wanajua zinatunguka.
 
Siku zote ni marketing na kudanganya Average user, ila hata wao wanajua zinatunguka.
Bro Asante Sana nilitaka kukutag uje uthibitishe..hawa Apple wahuni Sana.. ila watu hadi kesho wanashupaza shingo,

Sister yangu alipigwa iPhone Ina passcode na iCloud ipo on..akalog in iCloud.com ku access data zake akarudisha vitu baadhi ila simu ipo offline na find my iPhone ipo On..

Siku ya pili anaingia Tena kuangalia simu yake anaambiwa hauja sign in Kwenye device yeyote.. hahaha
 
Bro Asante Sana nilitaka kukutag uje uthibitishe..hawa Apple wahuni Sana.. ila watu hadi kesho wanashupaza shingo,

Sister yangu alipigwa iPhone Ina passcode na iCloud ipo on..akalog in iCloud.com ku access data zake akarudisha vitu baadhi ila simu ipo offline na find my iPhone ipo On..

Siku ya pili anaingia Tena kuangalia simu yake anaambiwa hauja sign in Kwenye device yeyote.. hahaha
Hata mimi mkuu nishabishana sana na fans wa Apple humu, Security ya Apple ni nzuri kuku Linda na hackers wadogo wadogo, kulinda vijana wa mtaani wa siku track, sijui kuiba text za WhatsApp etc.

Ila linapokuja Suala la kidunia hackers wakubwa wakubwa Hio icloud data zinavuja kila siku, hizi ndio simu pendwa za masuper star kila siku video zao zinavuja, icloud siku hizi watu wanapita nazo.

Muda kidogo niliwahi kumsaidia Ndugu yangu kununua Iphone 8 ile simu ulikua huwezi ku update, unalogin fresh icloud na Apple ID ila ku update haikubali, nilisumbuka nayo sana mpaka baadae nikajua ilitolewa icloud, simu yoyote ios 16 kushuka inatoka icloud na signal zinafanya kazi fresh tu kwa bei za kawaida. Hizi ios mpya ndio zina gharama sana
 
Mimi nachojua iPhone producers au Apple hawajawahi kuwa na wateja hapa Tanzania.
Apple hawafanyi matangazo kwenye nchi masikini mkuu.
Anakaribia kutoka, lakini vijana ma IT, munaenjoi maisha TU.

Bitcoin inverter mjapani mpaka Leo, Hola, Amekuwa mfano wa kuigwa wa cryptocurrency.

Mkuu kama wewe una ujuzi jilipuwe TU, utakuwa umeisaidia Dunia pakubwa.
Bitcoin founder haijulikani uraia wake sahihi mkuu, na yaweza kuwa sio mtu bali kikundi cha watu.
Nikitaka movie naingia pirates bay ama torrent galaxy
www.1337x.to
 
Hata mimi mkuu nishabishana sana na fans wa Apple humu, Security ya Apple ni nzuri kuku Linda na hackers wadogo wadogo, kulinda vijana wa mtaani wa siku track, sijui kuiba text za WhatsApp etc.

Ila linapokuja Suala la kidunia hackers wakubwa wakubwa Hio icloud data zinavuja kila siku, hizi ndio simu pendwa za masuper star kila siku video zao zinavuja, icloud siku hizi watu wanapita nazo.

Muda kidogo niliwahi kumsaidia Ndugu yangu kununua Iphone 8 ile simu ulikua huwezi ku update, unalogin fresh icloud na Apple ID ila ku update haikubali, nilisumbuka nayo sana mpaka baadae nikajua ilitolewa icloud, simu yoyote ios 16 kushuka inatoka icloud na signal zinafanya kazi fresh tu kwa bei za kawaida. Hizi ios mpya ndio zina gharama sana
Elimu ya watanzania Ina shida mtu hata umuelekeze vipi hakuelewi..Mimi kufungua simu yenye iCloud sio suala gumu,ila kuhack kua access data za mtu ndio Jambo gumu Sana, nahisi hata hao hackers Wana tools za hali ya juu..

Watakuja Pro iPhone watasema FBI walishindwa kufungua simu ya mwarabu hadi wakalazimisha mahakama iruhusu Apple wafungue simu..

FBI hawakushindwa kufungua simu na kutoa iCloud,ugumu ulikua kama watatoa iCloud simu ita wipe,na ukiwipe simu location history inapotea watakua wamepoteza ushaidi..

Hiyo back then but kwa Sasa mdebwedo tu ,Kuna cable inaitwa OMG CABLE,hiyo dakika sifuri tu inacopy data, files, password..na flipper Zero. . iPhone hazitambi
 
Unachekesha, Dunia ya Teknolojia iko Mikononi mwa Software Engineers, Programmers, Computer Engineers, Computer Scientists, IT wewe ni msaidizi tu wa hao jamaa, utumie ulichoandaliwa na hao jamaa.

Ni sawa na Mtu wa PCB anayesoma BAM aseme yeye ni Mwamba wa Mahesabu mbele ya Mtu anayesoma Pure Advanced Mathematics.
Watu wazamani muna shida sana,
Sasa unajua maana ya information technology IT ni nn ?
 
Mwenye Telegram katutupia vilago baada ya kuminywa mapumbu....sasa hivi ukiweka link yoyote kule wanaifuta!
Ule ni wivu TU, wa France kwa kijana wa Russian akiwa na online platform kubwa wakati wao hawana.

Ngoja tuone in future itakuwaje
 
Information technology (IT) is the use of computer systems, hardware, software, and networks to manage, process, protect, and exchange information.
Jibu lako hili hapa 😎

Unachekesha, Dunia ya Teknolojia iko Mikononi mwa Software Engineers, Programmers, Computer Engineers, Computer Scientists, IT wewe ni msaidizi tu wa hao jamaa, utumie ulichoandaliwa na hao jamaa.

Ni sawa na Mtu wa PCB anayesoma BAM aseme yeye ni Mwamba wa Mahesabu mbele ya Mtu anayesoma Pure Advanced Mathematics.
 
Hivi kwanini IPhone 10 inapendwa sana na haipatikani kiurahisi hata kwa refurbished? Nina ndugu yangu hiyo amesema hawezi kuichia kabisa hata awe na latest yoyote. Yeye shabiki pia tangu na simu ya kwanza ianze.
 
Nimetumia iPhones series zote,ila 10 , 5s,na 13 kwangu Mimi ndio simu Bora ..10 lazima ipendeke nzuri kwa design, camera.. battery,chip,kioo..yaani perfecto..

Nyingine zinaonekana michosho sababu zinakua hazina mabadiliko Makubwa kimuonekano,zaidi ya mabadiliko ya features kidogo ambazo kwa wengi hazina maana yeyote,.

Ushindani wa soko unafanya watoe Simu kila mwaka ambazo technically zinakua hazina mabadiliko yeyote so wanauzia jina..

Angalia kati ya iPhone 3 kwenda 4 Kuna mabadiliko Makubwa Sana hasa iOS na iCloud ikaanza tumika..

Kutoka 4 kwenda 5s mabadiliko Makubwa Sana ..kutoka 6,7,8 hakukua na chochote kipya zaidi ya jina tu..ila 10 ikaja na Unyama mwingi Sana..kutoka 12 Hadi 16 simu Kali ni 13 zingine zinapita humohumo..

Hivi kwanini IPhone 10 inapendwa sana na haipatikani kiurahisi hata kwa refurbished? Nina ndugu yangu hiyo amesema hawezi kuichia kabisa hata awe na latest yoyote. Yeye shabiki pia tangu na simu ya kwanza ianze.
 
Back
Top Bottom