Hivi na haya magari kama range rover, land rover, BMW, Audi, MB ya Tanganyika ni zile original kabisa?Hivi hizi za Tanganyika ni iphone? Iphone zile Original kabisa?
Utalipia usd 20 ila simu Haina WhatsApp Wala apps za maana zaidi ya kupiga simu tu??
Sijawahi sikia mtu akilalamika kauziwa clone ya BMW, Audi ila vilio vya hayo ma iphone vimejaa kila sehemu. Au wewe umeshawahi kuona clone ya Benz? Acha mifano ya kitoto.Hivi na haya magari kama range rover, land rover, BMW, Audi, MB ya Tanganyika ni zile original kabisa?
Maswali na fikra za kijinga sana!
Wewe hujui kitu, inawezekana hata Baiskeli ujawahi kumiliki.Sijawahi sikia mtu akilalamika kauziwa clone ya BMW, Audi ila vilio vya hayo ma iphone vimejaa kila sehemu. Au wewe umeshawahi kuona clone ya Benz? Acha mifano ya kitoto.
Sasa kwenye spea tumeingiaje tena boss? Hoja yako si ni iphone vs BMW/Benz?Wewe hujui kitu, inawezekana hata Baiskeli ujawahi kumiliki.
Miliki gari za ulaya alafu jichanganye uende kwenye maduka ya hakina Maiko ukanunue spea badala ya kuuziwa spea ambayo ni Genuine utauzuwa kopi.
Nijuavyo mimi kuna marketing terms aka kitu chakukufanya uuze and technical terms aka kiufundi zaidi kingine ni brandMimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu nikajua ku jailbreak iPhone na ku install Cydia (3rd part store).
Ilipotoka iPhone 5s ulinzi wa Apple ukaboreshwa, wakatangaza atakayeweza ku jailbreak iPhone 5s analipwa billion 6 za kitanzania..wahuni wakafanikiwa kujail break solution tukapata ikawa easy.
Ugumu ukawa kutoa iCloud lock,ukiokota iphone au kusahau password ya iCloud yako simu inakua KOPO.
ila akatokea mrusi anaitwa Vighor akagundua kitu kinaitwa DNS bypass..ukiingia Kwenye server yake, ukiwa USA unatumia server hii,
104.154.51.7
Africa;104.155.28.90
Kupitia servers hizo iPhone iliyoibiwa mwizi anaweza kutumia simu yako ila hatoweza kupiga simu Wala kutuma SMS..ni mwendo wa WiFi tu.
Solution hii inatumika Hadi leo (hata Kwenye latest iPhones).
Zilipotoka iPhone 7 ikagundulika njia ya ku bypass iCloud activation lock.
Means ukiibiwa simu mtu anatoa passcode kwa kutumia computer then ikitaka aweke iCloud yako,ana bypass activation lock,anatumia simu vizuri Kama yake,anaweka iCloud yake.anapiga simu,ana download apps. Mimi binafsi Nisha bypass iPhones zaidi ya 10 aina tofauti na iOS versions LATEST KABISA(sio za wizi kujifunza)..ila sharti usi restore simu. Ku bypass icloud activation lock inawezekana mara moja tu.
Swali; kwanini Apple wanasema simu ikiibiwa find my iPhone ikiwa ON mwizi hatoweza kuitumia??wakati hapa dar watu kibao wanatumia iPhones za wizi? icloud activation lock inarukwa? Apple hawajui?
Nachofahamu DNS BYPASS Apple wameshindwa kuifunga coz inatumia Captive portal, ambayo kama Apple akifunga haitowezekana ku activate hata simu ambazo sio za wizi.
unaitumiaje hii mkuuNa mshangaa sana MTU anayeye lipia Netflix, wakati movies ziko , pirates siku nyingi sana,
mkuu inatumikaje hioAlie gundua torrents apewe maua yake..
Ajabu,unanunuaje Pc disk yake inbuilt..N
Nijuavyo mimi kuna marketing terms aka kitu chakukufanya uuze and technical terms aka kiufundi zaidi kingine ni brand
Apple kwakua ni product za US atakachosema nikweli hata km kiuhalisia sio.
Nakupa mfano hizi Mac za kuanzia 2017 mpk sasa ssd zake ni soldering means ikifa mpk ukabadilishe Kwa fundi electronics na zinakufa balaa lkn jamaa hasemi kua kuna loophole kubwa sn kwenye products zake.
Huawei and Chinese products zinaweza kua more reliable tena kuliko iPhone sema nchi and products inawabeba
mkuu inatumikaje hio
mkuu inatumikaje hio
Una laptop?unaitumiaje hii mkuu
hapanUna laptop
Hii Uongo bwanaWabongo kwa kulishana matango pori. Kwa hiyo kuna iphone fake zinazotumia ios na kupokea updates kutoka kwenye server za apple moja kwa moja, au sio?
Facebook tu wanakesi mahakamani huwa Wana collect data za wateja. Wakati sera zao zinasema wanalinda Faragha za watu na data zao..Mkuu unakumbuka habari za BLACKBERRY?....
Ilibebwa sana na kufanya watu waiamini kuwa ni the best,.... lakini nyuma ya pazia zilikuwa zikitumika vilivyo kukusanya data za wateja pale zinapohitajika,.....
Kuhusu iPhone nahisi kuna sintofahamu nyuma ya pazia,....
Ishu ya kukusanywa taarifa za watumiaji wa simu nadhani inafanywa na makampuni yote Duniani,.....haijarishi tunadanganywa vipi na hao watengenezaji,...Facebook tu wanakesi mahakamani huwa Wana collect data za wateja. Wakati sera zao zinasema wanalinda Faragha za watu na data zao..
Akili kama za WAZEE ZA SIMBA!Sasa kwenye spea tumeingiaje tena boss? Hoja yako si ni iphone vs BMW/Benz?
Wamefanyaje tena kitimoto? Hoja ya iphone vs Benz imeyeyuka?Akili kama za WAZEE ZA SIMBA!
Sasa ni kama inawezekana kwanini FBI walishindwa dukua icloud wakakimbilia mahakamani kuishitaki apple? Au unataka sema FBI hawana IT?Ukitaka ujue , kinachoendela, iphones wanatoa updates kila muda mfupi, ambazo hazina tija,
Vijana wa IT wako kazini,hii Dunia iko mikononi mwetu,
IT Man running this funking world
Sema binadamu wengi hawapati Informations sahihi