Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
- Thread starter
-
- #81
Hili swali nimesharijibuSasa ni kama inawezekana kwanini FBI walishindwa dukua icloud wakakimbilia mahakamani kuishitaki apple? Au unataka sema FBI hawana IT?
Shekhe iphone 16 imetoka na iso 18 huyu ana update iso 18 kivipi au wewe ni sharo kwenye iphone au ulikosea ulitaka kusema iphone 15Tena now watu wanazima Hadi find my iPhone. Bado Apple wanasema IMPOSSIBLE hahaha .IT ndio future..mdogo wangu ana iPhone 16 ka update to iOS 18..haitaki anadai mtindo wa gallery umekua mbaya,ka Google solution arudishe nyuma iOS wakamwambia IMPOSSIBLE..
Akauliza watu wa IT kama inawezekana wakamwambia NOOOO
Akaniuliza Mimi nikamwambia inawezekana,akataka tubishane nikamwambia KWELI ITAKUA HAIWEZEKANI ubishi ukaisha..
Hivi hawa wanajua kua watu tunatoa hadi MDM Kwenye iPhone?
Nikuongea tu kila mtu anaongea anavyoweza ila latest iphone kutoka icloud lock sio rahisi kama hivyo ni story wanaongea kujamaa anaitwa tall ni IT mzuri sana mtaa wa argey mafundi simu wengi wanamtegemea sana katika ubishe kwenye kijiwe chakawaha wadau wakampelekea iphone 14 yenye ISO 17 jamaa aliuliza mpaka wahindi wanaumuuziaga mafile na crack ila iligonga nyundo ukisikia story ni rahisi sana ila mpe simu sasa atoe lock 😂😂😂😂 anaeweza hivyo ujue ni mtu mwenye data base na technology yaSasa ni kama inawezekana kwanini FBI walishindwa dukua icloud wakakimbilia mahakamani kuishitaki apple? Au unataka sema FBI hawana IT?
wabongo wana ushamba mwingi..mimi nishanunua hizo iphone tena huko USA zaidi ya mara tatu na nkuja bongo natumia. Sasa wanaosema bongo hakuna hizo simu OG ndio nawaona malimbukeniWabongo kwa kulishana matango pori. Kwa hiyo kuna iphone fake zinazotumia ios na kupokea updates kutoka kwenye server za apple moja kwa moja, au sio?
si unajua tena watanzania wakimwamini mtu. tangu yule dada awambie bongo iphone zilizopo ni fake basi wakalibeba kama lilivyo.wabongo wana ushamba mwingi..mimi nishanunua hizo iphone tena huko USA zaidi ya mara tatu na nkuja bongo natumia. Sasa wanaosema bongo hakuna hizo simu OG ndio nawaona malimbukeni
Changamoto ni kwamba leo uki bypass iOS 16 Kwenye iPhone 14,ikitoka iOS 16.1 kipengele kinabadilika,ndio maana Wana update software Mara kwa Mara..Nikuongea tu kila mtu anaongea anavyoweza ila latest iphone kutoka icloud lock sio rahisi kama hivyo ni story wanaongea kujamaa anaitwa tall ni IT mzuri sana mtaa wa argey mafundi simu wengi wanamtegemea sana katika ubishe kwenye kijiwe chakawaha wadau wakampelekea iphone 14 yenye ISO 17 jamaa aliuliza mpaka wahindi wanaumuuziaga mafile na crack ila iligonga nyundo ukisikia story ni rahisi sana ila mpe simu sasa atoe lock 😂😂😂😂 anaeweza hivyo ujue ni mtu mwenye data base na technology ya
Zaidi ya billion hukoo sio mtu mwenye kalaptop ka milioni na unlimited bundle hawezi
Msela Hana uelewa Find my phone kama una simu ya IPhone @Icloud.com unaweza Kuingia Kwenye Simu Yoyote Google Andika ICloud login na akaunti yako alafu Nenda kwenye Sehemu Imeandikwa Find My Phone kama hawata Kuletea Sehemu ilipo, Vijembe vingi IPhone the Best ata Kama Haina Bando inasoma Location Hauoni Unapiga Picha ingali Huna Bando lakini inakuletea Location ya PichaShekhe iphone 16 imetoka na iso 18 huyu ana update iso 18 kivipi au wewe ni sharo kwenye iphone au ulikosea ulitaka kusema iphone 15
Nina swali hapa ios ipi latest ume bypass? Kwenye maandishinyako umeongelea za nyuma sanaMimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu nikajua ku jailbreak iPhone na ku install Cydia (3rd part store).
Ilipotoka iPhone 5s ulinzi wa Apple ukaboreshwa, wakatangaza atakayeweza ku jailbreak iPhone 5s analipwa billion 6 za kitanzania..wahuni wakafanikiwa kujail break solution tukapata ikawa easy.
Ugumu ukawa kutoa iCloud lock,ukiokota iphone au kusahau password ya iCloud yako simu inakua KOPO.
ila akatokea mrusi anaitwa Vighor akagundua kitu kinaitwa DNS bypass..ukiingia Kwenye server yake, ukiwa USA unatumia server hii,
104.154.51.7
Africa;104.155.28.90
Kupitia servers hizo iPhone iliyoibiwa mwizi anaweza kutumia simu yako ila hatoweza kupiga simu Wala kutuma SMS..ni mwendo wa WiFi tu.
Solution hii inatumika Hadi leo (hata Kwenye latest iPhones).
Zilipotoka iPhone 7 ikagundulika njia ya ku bypass iCloud activation lock.
Means ukiibiwa simu mtu anatoa passcode kwa kutumia computer then ikitaka aweke iCloud yako,ana bypass activation lock,anatumia simu vizuri Kama yake,anaweka iCloud yake.anapiga simu,ana download apps. Mimi binafsi Nisha bypass iPhones zaidi ya 10 aina tofauti na iOS versions LATEST KABISA(sio za wizi kujifunza)..ila sharti usi restore simu. Ku bypass icloud activation lock inawezekana mara moja tu.
Swali; kwanini Apple wanasema simu ikiibiwa find my iPhone ikiwa ON mwizi hatoweza kuitumia??wakati hapa dar watu kibao wanatumia iPhones za wizi? icloud activation lock inarukwa? Apple hawajui?
Nachofahamu DNS BYPASS Apple wameshindwa kuifunga coz inatumia Captive portal, ambayo kama Apple akifunga haitowezekana ku activate hata simu ambazo sio za wizi.
Kwa sasa wapo resellers wanaotambulika na wanatoa official apple warranty na simu zinakuja kwa ajili ya east Africa.Mimi nachojua iPhone producers au Apple hawajawahi kuwa na wateja hapa Tanzania.
Basi kuna hatua mmepigaKwa sasa wapo resellers wanaotambulika na wanatoa official apple warranty na simu zinakuja kwa ajili ya east Africa.
Hakika.Basi kuna hatua mmepiga
Kwamba ni unhackable? Hiyo haipo.Mimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu nikajua ku jailbreak iPhone na ku install Cydia (3rd part store).
Ilipotoka iPhone 5s ulinzi wa Apple ukaboreshwa, wakatangaza atakayeweza ku jailbreak iPhone 5s analipwa billion 6 za kitanzania..wahuni wakafanikiwa kujail break solution tukapata ikawa easy.
Ugumu ukawa kutoa iCloud lock,ukiokota iphone au kusahau password ya iCloud yako simu inakua KOPO.
ila akatokea mrusi anaitwa Vighor akagundua kitu kinaitwa DNS bypass..ukiingia Kwenye server yake, ukiwa USA unatumia server hii,
104.154.51.7
Africa;104.155.28.90
Kupitia servers hizo iPhone iliyoibiwa mwizi anaweza kutumia simu yako ila hatoweza kupiga simu Wala kutuma SMS..ni mwendo wa WiFi tu.
Solution hii inatumika Hadi leo (hata Kwenye latest iPhones).
Zilipotoka iPhone 7 ikagundulika njia ya ku bypass iCloud activation lock.
Means ukiibiwa simu mtu anatoa passcode kwa kutumia computer then ikitaka aweke iCloud yako,ana bypass activation lock,anatumia simu vizuri Kama yake,anaweka iCloud yake.anapiga simu,ana download apps. Mimi binafsi Nisha bypass iPhones zaidi ya 10 aina tofauti na iOS versions LATEST KABISA(sio za wizi kujifunza)..ila sharti usi restore simu. Ku bypass icloud activation lock inawezekana mara moja tu.
Swali; kwanini Apple wanasema simu ikiibiwa find my iPhone ikiwa ON mwizi hatoweza kuitumia??wakati hapa dar watu kibao wanatumia iPhones za wizi? icloud activation lock inarukwa? Apple hawajui?
Nachofahamu DNS BYPASS Apple wameshindwa kuifunga coz inatumia Captive portal, ambayo kama Apple akifunga haitowezekana ku activate hata simu ambazo sio za wizi.
Kwa technology ilivyo sasa si jambo la kubisha tu, inahitaji ufanye utafiti. Mbona Microsoft wanatoa PC OS mpya wakiamini wameziba mwanya wa crackers lakini bado hata windows 11 unaweza install na kupata updates toka kwao bila kuwa na license. Watu wanaweza kupata iOS na waka install kwenye non apple devicesWabongo kwa kulishana matango pori. Kwa hiyo kuna iphone fake zinazotumia ios na kupokea updates kutoka kwenye server za apple moja kwa moja, au sio?
Umeelewa nlichokuuliza mkuu? Apple unlike microsoft anaunda hardware na software zake.Kwa technology ilivyo sasa si jambo la kubisha tu, inahitaji ufanye utafiti. Mbona Microsoft wanatoa PC OS mpya wakiamini wameziba mwanya wa crackers lakini bado hata windows 11 unaweza install na kupata updates toka kwao bila kuwa na license. Watu wanaweza kupata iOS na waka install kwenye non apple devices
Watu wenye maneno mengi kama ww ndo huwa hamjui k2, uzwazwa ulimbukeni na ujuaji mwingi kwny comments, cjui umetega nyavu humu..Tena now watu wanazima Hadi find my iPhone. Bado Apple wanasema IMPOSSIBLE hahaha .IT ndio future..mdogo wangu ana iPhone 16 ka update to iOS 18..haitaki anadai mtindo wa gallery umekua mbaya,ka Google solution arudishe nyuma iOS wakamwambia IMPOSSIBLE..
Akauliza watu wa IT kama inawezekana wakamwambia NOOOO
Akaniuliza Mimi nikamwambia inawezekana,akataka tubishane nikamwambia KWELI ITAKUA HAIWEZEKANI ubishi ukaisha..
Hivi hawa wanajua kua watu tunatoa hadi MDM Kwenye iPhone?