Je ARM inaweza kuua x86 processors kwenye computers?

Je ARM inaweza kuua x86 processors kwenye computers?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Toka apple ameachia processors za Silcon M1 based on ARM achirtecture, ambapo zimeishinda processor ya intel yoyote yenye nguvu katika single thread kuanzia kwenye graphics rendering, na kila kitu mjadara umekuwa mkubwa mtandaoni.

Kabla ya hapo mjadara mkubwa ulikuwa ni AMD ryzen 5000 dhidi ya intel ambapo intel alikuwa kachapwa. Sasa naona kila kona ni M1 dhidi ya intel na kila kona intel kachapwa hata kurun windows via emulator bado benchmark imeipa 1306 dhidi ya 806 ya jinsi window inavyorun kwenye surface pro.

Sasa swali je huu ndiyo mwisho wa intel? Maana kuna fununu kuwa pia microsoft anatengeneza naye arm based processor zake.
Na kumbuka kama hizi ni toleo la kwanza la processor za cpu na zimemchapa intel, je itakuaje kwa matoleo yanayofuata.

Chief-Mkwawa
 
Ndio. In the future all consumer devices zitahamia ARM.
Qualcomm wameshainvest sana kwa kuajiri wataalam na baadhi ya wadau walitoka Apple.
Samsung pia ana partnership na AMD wanataka kutoa ARM processor yenye GPU kali.
Qualcomm na Microsoft wana partnership ya kutengeneza ARM CPU zenye nguvu.
Google na Amazon wameshaanza kutumia ARM kwenye servers.
Na Google ana mpango wa kutengeneza CPU yake mwenyewe kwa ajili ya simu zake za Google Pixel.

ARM ndio future ila x86 kwa sasa bado itakuepo sana tu. Upande wa Windows kinachozingua ni app support. App support kwa Windows on ARM ni hafifu sana, hapa ndipo unapoona nguvu Apple walivyokua nayo juu ya developers. Microsoft ameanza Windows on ARM mwaka 2012 with Windows RT ila hadi leo hawapati support kabisa kutoka kwa developers na ndio kinachowaangusha. Lakini pia hii inachangiwa na Microsoft kufanya windows on ARM kama side project na kutoleta vitu vya kuwa convince developers watumie platform yao.

Intel haendi kokote. Company kubwa kma hyo haiwezi kufa tu. Intel wana biashara nyingi sana sio CPU tu. Na wao pia wameaanza kutafta nguvu ya kurudi kwenye project yao ya ARM CPUs waliyoitelekeza miaka ya nyuma.
 
Ndio. In the future all consumer devices zitahamia ARM.
Qualcomm wameshainvest sana kwa kuajiri wataalam na baadhi ya wadau walitoka Apple.
Samsung pia ana partnership na AMD wanataka kutoa ARM processor yenye GPU kali.
Qualcomm na Microsoft wana partnership ya kutengeneza ARM CPU zenye nguvu.
Google na Amazon wameshaanza kutumia ARM kwenye servers.
Na Google ana mpango wa kutengeneza CPU yake mwenyewe kwa ajili ya simu zake za Google Pixel.

ARM ndio future ila x86 kwa sasa bado itakuepo sana tu. Upande wa Windows kinachozingua ni app support. App support kwa Windows on ARM ni hafifu sana, hapa ndipo unapoona nguvu Apple walivyokua nayo juu ya developers. Microsoft ameanza Windows on ARM mwaka 2012 with Windows RT ila hadi leo hawapati support kabisa kutoka kwa developers na ndio kinachowaangusha. Lakini pia hii inachangiwa na Microsoft kufanya windows on ARM kama side project na kutoleta vitu vya kuwa convince developers watumie platform yao.

Intel haendi kokote. Company kubwa kma hyo haiwezi kufa tu. Intel wana biashara nyingi sana sio CPU tu. Na wao pia wameaanza kutafta nguvu ya kurudi kwenye project yao ya ARM CPUs waliyoitelekeza miaka ya nyuma.
Nakumbuka microsoft alitoa ikakosa support ila pia ilikuwa weak. Microsoft ana develop emulator ya kurun x86 apps kwenye arm windows based processors.
 
Toka apple ameachia processors za Silcon M1 based on ARM achirtecture, ambapo zimeishinda processor ya intel yoyote yenye nguvu katika single thread kuanzia kwenye graphics rendering, na kila kitu mjadara umekuwa mkubwa mtandaoni.

Kabla ya hapo mjadara mkubwa ulikuwa ni AMD ryzen 5000 dhidi ya intel ambapo intel alikuwa kachapwa. Sasa naona kila kona ni M1 dhidi ya intel na kila kona intel kachapwa hata kurun windows via emulator bado benchmark imeipa 1306 dhidi ya 806 ya jinsi window inavyorun kwenye surface pro.

Sasa swali je huu ndiyo mwisho wa intel? Maana kuna fununu kuwa pia microsoft anatengeneza naye arm based processor zake.
Na kumbuka kama hizi ni toleo la kwanza la processor za cpu na zimemchapa intel, je itakuaje kwa matoleo yanayofuata.

Chief-Mkwawa
Kwanza mkuu si kweli kwamba M1 ina advantage kwa x86 kila corner Inategemea na benchmark na benchmark,

Mfano Geekbench Inajulikana miaka na miaka Ina favour Apple, hivyo toka zamani kwenye Geekbench iPhone zina nguvu kushinda pc.

Naweza ku cherry pick na mimi benchmarks ryzen 5 inaipita kwa kiasi kikubwa tu M1
golang.org_x_benchmarks.png


Na hapo M1 imetengenezwa kwa 5nm na Ryzen ni 7nm, ryzen ikienda 7nm bila hata Kudesign Architecture itapata boost ya perfomance.

Moja ya Sababu ambayo Intel ipo nyuma ni kwamba wame stuck kwenye viwanda vyao na 10nm.

Tuachane na mambo ya perfomance, kwanini bado Arm haiwezi kureplace x86?

1. Mkuu Arm ni walled Garden, unachopewa ndio utumie, usitegemee mastudio duniani, makampuni, workstation, power users, gamers etc uwauzie computer halafu baada ya mwaka unatoa computer nyengine unawauzia tena, wanataka ku upgrade. Na kitu hiki so far Arm wamefeli.

Chukulia mfano Ryzen toka zimetoka zinatumia motherboard moja Am4, inamaana mtu alie nunua ryzen 1600 kama miaka 5 iliopita Ana option ya ku upgrade kwenda ryzen 5 2600, 3600, 4600 ama hii mpya 5600 bila kubadilisha pc yake, na si cpu tu anaweza upgrade almost kila kitu, ram, hdd, ssd, gpu, network etc.

2. Ports na connection, ports nyingi zina husika na X86, Una option ya makumi kama sio mamia ya ports vitu kama hdmi, display port, vga, Dvi, thunderbolt, USB type C etc. Kama Umeon Mac za M1 nyingi zipo limited na monitor 1 ama 2 za nje, kazi yoyote ambayo unahitaji multi MOnitor ngumu kufanya na Arm, Inaweza kubadili ka baadae ila so far ni ngumu.

3. Compability na legacy apps.
Mfano sasa hivi virtualization yoyote kwenye M1 ni shida huwezi run os ama vitu vingi kwa VMware.

Faida ya kuwa na Arm
1. Arm inakaa sana na charge ina maana vitu vyote portable kuanzia simu, game za mkono ni laptop etc vitakaa na charge zaidi compare na X86.

2. Rahisi kudevelop vitu vidogo vidogo kama os za simu mfano wake,. Mfano leo hii mimi na wewe bila ujuzi wowote unaweza develop apps za simu ila huwezi kwa pc kama sio pro.

3. Bei rahisi lakini hapa tuna ongelea kina mediatek sio M1, laptop low end kabisa mpya unakuta ni laki 4, ila kuna chrome book za chini ya hapo Sababu ya Arm.


Hivyo mkuu vitu vitajitenga, consumer watakuja kununua Arm zaidi baadae lakini pro wata endelea kutumia X86, atleast huo ndio muono wangu.
 
Kwanza mkuu si kweli kwamba M1 ina advantage kwa x86 kila corner Inategemea na benchmark na benchmark,

Mfano Geekbench Inajulikana miaka na miaka Ina favour Apple, hivyo toka zamani kwenye Geekbench iPhone zina nguvu kushinda pc.

Naweza ku cherry pick na mimi benchmarks ryzen 5 inaipita kwa kiasi kikubwa tu M1
View attachment 1774399

Na hapo M1 imetengenezwa kwa 5nm na Ryzen ni 7nm, ryzen ikienda 7nm bila hata Kudesign Architecture itapata boost ya perfomance.

Moja ya Sababu ambayo Intel ipo nyuma ni kwamba wame stuck kwenye viwanda vyao na 10nm.

Tuachane na mambo ya perfomance, kwanini bado Arm haiwezi kureplace x86?

1. Mkuu Arm ni walled Garden, unachopewa ndio utumie, usitegemee mastudio duniani, makampuni, workstation, power users, gamers etc uwauzie computer halafu baada ya mwaka unatoa computer nyengine unawauzia tena, wanataka ku upgrade. Na kitu hiki so far Arm wamefeli.

Chukulia mfano Ryzen toka zimetoka zinatumia motherboard moja Am4, inamaana mtu alie nunua ryzen 1600 kama miaka 5 iliopita Ana option ya ku upgrade kwenda ryzen 5 2600, 3600, 4600 ama hii mpya 5600 bila kubadilisha pc yake, na si cpu tu anaweza upgrade almost kila kitu, ram, hdd, ssd, gpu, network etc.

2. Ports na connection, ports nyingi zina husika na X86, Una option ya makumi kama sio mamia ya ports vitu kama hdmi, display port, vga, Dvi, thunderbolt, USB type C etc. Kama Umeon Mac za M1 nyingi zipo limited na monitor 1 ama 2 za nje, kazi yoyote ambayo unahitaji multi MOnitor ngumu kufanya na Arm, Inaweza kubadili ka baadae ila so far ni ngumu.

3. Compability na legacy apps.
Mfano sasa hivi virtualization yoyote kwenye M1 ni shida huwezi run os ama vitu vingi kwa VMware.

Faida ya kuwa na Arm
1. Arm inakaa sana na charge ina maana vitu vyote portable kuanzia simu, game za mkono ni laptop etc vitakaa na charge zaidi compare na X86.

2. Rahisi kudevelop vitu vidogo vidogo kama os za simu mfano wake,. Mfano leo hii mimi na wewe bila ujuzi wowote unaweza develop apps za simu ila huwezi kwa pc kama sio pro.

3. Bei rahisi lakini hapa tuna ongelea kina mediatek sio M1, laptop low end kabisa mpya unakuta ni laki 4, ila kuna chrome book za chini ya hapo Sababu ya Arm.


Hivyo mkuu vitu vitajitenga, consumer watakuja kununua Arm zaidi baadae lakini pro wata endelea kutumia X86, atleast huo ndio muono wangu.
Asante sana kwa maelezo mazuri chief.
Umenifungua macho ya mengi ambayo sikufahamu.
 
Binafs naona M1 inakuwa so overrated maana nmeona Weng wanazipima mpk na core i9 za intel na zina onekana bora
Pengne n makerting tu maana ndugu zetu Janja Janja ya Soko wanaijua vizur
 
Back
Top Bottom