Ingukuwa hivi kama Dunia ingeongozwa na wanawake kusingekuwa na Vita, ungesikia Marekani haongei na Urusi, Mara Rwanda yainunia Burundi, Boko Haram wawapelekea Umbea alshabab, Ethiopia yasusia Misaada ya UN, Mara Djibout yamtuma Balozi wake akaisute Sudani, Waziri Mkuu wa UK awachamba Magaidi,Tanzania yawashushua Kenya hahaha
Looo, mjadala wa ajabu huu.
Inakuwaje mleta mada anasahau nyuma ya mwanamke kuna mwanaume (mara nyingi msemo huo hutumiwa kinyumenyume).
Nadhani mada hii itaeleweka vizuri hilo likitambulika hivyo.