Masweeter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 206
- 572
Ingukuwa hivi kama Dunia ingeongozwa na wanawake kusingekuwa na Vita, ungesikia Marekani haongei na Urusi, Mara Rwanda yainunia Burundi, Boko Haram wawapelekea Umbea alshabab, Ethiopia yasusia Misaada ya UN, Mara Djibout yamtuma Balozi wake akaisute Sudani, Waziri Mkuu wa UK awachamba Magaidi,Tanzania yawashushua Kenya hahaha