Je, Askari wa Cheo cha Juu anaruhusiwa kumuonya Wa Chini yake kwa kumpiga?

Je, Askari wa Cheo cha Juu anaruhusiwa kumuonya Wa Chini yake kwa kumpiga?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Swali hili nauliza kwa sababu kuna jamaa anasema hivi, nitanukuu ila baadhi ya sehemu za majina nitaficha

"Tulipokuwa JKT Afisa mmoja wa jeshi ambaye ni moja ya viongozi wakuu wa kambi ile alitembelea na kigari chake akatusalimia kisha muda wa kuondoka akamwambia yule mwalimu wetu anayetupa mafunzo kwamba asitupe mafunzo makali sisi wa kwa mujibu jamaa (yule afande aliyepewa maagizo) akaitikia vizuri

Alipoondoka yule kiongozi huyu afande akawa anaendelea kutupa mazoezi na hakufanya mabadiliko yoyote katika mazoezi tunayofanya kila siku. Pale kambini kuna miti mingi basi tukawa tunaambiwa tusimame kwa mikono iliyokunja ngumi miguu ikiwa imetundikwa kwenye ile miti huku tunaamrishwa kuimba sauti zenyewe hazitoki basi tu

Basi bwana kumbe yule afande (kiongozi mkubwa) siku hiyo kaja kwa kunyemelea kapaki kigari chake mbali uko akaja kwa mguu mpaka pale ndo akatukuta katika hali hiyo ya mazoezi aisee alimshika yule afande akampiga, piga sana huku akimuongelesha kwa nini hafuati kile alichomuagiza.

Yule afande (mwalimu wetu) alipigwa mpaka nikaingiwa na huruma aisee tena yeye ni mdogo kiumri na mfupi halafu yule mkuu ni tolu balaa kwahiyo ukiangalia unaweza kusema ni baba anampiga mwanwe"
 
Bulombora 2017 mkuu wa kikosi alikuwa luten kanal wakuitwa kanole mwenzi mmoja wa mwanzo tulikula msosi safi mchana ugali nyama usiku wali saafi kibosi wau tukaanza kunenepa tukasema jeshi kumbe kutamu

mama.e upepo ukabadilika kwa kisingizio cha mzabuni hana hela tulikula ugali maharage na bilinganya mchana usiku (suti) asubuhi kipande cha mkate na chai ya rangi chai yenyewe mnakunywa saa saba mchana mnaunga na ugali kwa mienz yote miwili huyu mzee nasikia alijenga shule huko goms ....we tapeli kanole Mungu anakuona kwa kutulisha chakula cha ovyo kuliko kambi zote ili upige pesa.

Kuna tapeli mwenzie anaitwa luten kunambi alikuwa muhasibu yule jamaa alikuwa mnonko sana na kitambi chake posho kwa mwenz posho tuliyolipwa pesa nyingi haizid 42k kutoka 50k hapo kumbuka kuruti wa mujibu tulikuwa sio chini ya efu mbili.

Nchi imeoza huko Jeshini kuna matapeli na waizi sana.
 
Hakuna binadamu mwenye ruksa ya kumpiga binadamu mwenzake (unless ni mzazi au mwalimu shule au mwalimu wa kupigana au kama ni masumbwi au mchezo kama huo) Vinginevyo hakuna ruhusa hio... na sio kumpiga tu hata kupigana na utovu wa nidhamu...
 
Bulombora 2017 mkuu wa kikosi alikuwa luten kanal wakuitwa kanole mwenzi mmoja wa mwanzo tulikula msosi safi mchana ugali nyama usiku wali saafi kibosi wau tukaanza kunenepa tukasema jeshi kumbe kutamu

mama.e upepo ukabadilika kwa kisingizio cha mzabuni hana hela tulikula ugali maharage na bilinganya mchana usiku (suti) asubuhi kipande cha mkate na chai ya rangi chai yenyewe mnakunywa saa saba mchana mnaunga na ugali kwa mienz yote miwili huyu mzee nasikia alijenga shule huko goms ....we tapeli kanole Mungu anakuona kwa kutulisha chakula cha ovyo kuliko kambi zote ili upige pesa.

Kuna tapeli mwenzie anaitwa luten kunambi alikuwa muhasibu yule jamaa alikuwa mnonko sana na kitambi chake posho kwa mwenz posho tuliyolipwa pesa nyingi haizid 42k kutoka 50k hapo kumbuka kuruti wa mujibu tulikuwa sio chini ya efu mbili.

Nchi imeoza huko Jeshini kuna matapeli na waizi sana.
Hawatoagi melezo zaid imekatwa kwa ajili ya nini?
 
kwahiyo hata akitaka kukula Yas anakukula tu kilulaini kis amekuzidi cheo? kuna makazi mengine ni laana tupu, yani uanze tu kunipiga maaneeneer zakko nakuua na minyota yako begni nyambaffffffff
 
kwahiyo hata akitaka kukula Yas anakukula tu kilulaini kis amekuzidi cheo? kuna makazi mengine ni laana tupu, yani uanze tu kunipiga maaneeneer zakko nakuua na minyota yako begni nyambaffffffff
 
Back
Top Bottom