Je, Askofu Gwajima kujivua Uanachama wa CCM kanisani?

Je, Askofu Gwajima kujivua Uanachama wa CCM kanisani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa MwanaCCM, huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida.

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa Mwanaccm , huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani , na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida .

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Kumbe uanaota .andika kuwa naona hivi sio unaandika Kama habari yeñye uhakika

USSR
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa Mwanaccm , huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani , na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida .

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa . siasa za
Acheni siasa za matukio
 
Yule ni mfanyabiashara aliewekeza katika kanisa na bunge, wala sio Askofu. Na wabunge wote wa CCM wapo bungeni kwaajili ya maslahi yao binafsi, sio kwaajili ya wananchi.

Hawezi kujivua ubunge hata kwa mtutu wa bunduki awekewe makalioni.
CcCM wako radhi kuua ili wabaki madarakani milele. Walivyoiba hawawezi kuruhusu mwengine aingie. Kinana tu kwake dollars millions 70 siyo kitu. Kuna wana ccm wana apartments zaidi ya 50 pekee yao tu fikiria. Ni mijizi kupindukia nayatafanya chochote kile yabakie madarakani
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa Mwanaccm , huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani , na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida .

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Gwajima ni mtu mdogo sana kumpatia nafssi ya kumjadili hapa
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa Mwanaccm , huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani , na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida .

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Wasi wasi wa bure. Gwajima anahitaji CCM kuliko inavyomhitaji hasa ikizingatiwa kuwa ni tapeli wa kawaida anayetafuta ulaji na umaarufu
 
Wasi wasi wa bure. Gwajima anahitaji CCM kuliko inavyomhitaji hasa ikizingatiwa kuwa ni tapeli wa kawaida anayetafuta ulaji na umaarufu
Kwan unakosali wewe hakuna kutoa sadaka na michango? Au kwa vile hela inakusavywa na Padri au mchungaji ndo unadhani haipokelewi na watu! Mtu kazi yako kukashifu watu ongelea hoja sio kashifa!
 
Back
Top Bottom