ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ila gwajima ni tajiri nafikiri ubunge kwake ni pesa ndogo Sana . Anamiliki Hummer gari very expensive
Wanasiasa popote pale duniani malengo yao yanafanana utofaut wao ni namna ya kutimiza hayo malengoCcCM wako radhi kuua ili wabaki madarakani milele. Walivyoiba hawawezi kuruhusu mwengine aingie. Kinana tu kwake dollars millions 70 siyo kitu. Kuna wana ccm wana apartments zaidi ya 50 pekee yao tu fikiria. Ni mijizi kupindukia nayatafanya chochote kile yabakie madarakani
Makubaliano ya kikabila.Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa MwanaCCM, huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida.
Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Na alipopewa mic aongee nilimsikia akikohoa sijui ndio uoga ulimpata ? !!!Kwa ile security bubble ya Rais hata uwe mbishi vipi ukikutana nayo lazima uyumbe..
Walikubaliana nini hawa jamaa zetu mangoshahuyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha
Sauti kidogoGwajima hawezi kuachia almost .7 billion za Ubunge.