Kwani Nikki wa pili anasemaje kuhusu huyo pichani?
Kwani Nikki wa pili anasemaje kuhusu huyo pichani?
Ohoo [emoji2]Kwani Nikki wa pili anasemaje kuhusu huyo pichani?
Ndubwi ndiyo kiumbe gani tena ?Na macho yake kama ndubwi...
Mshambulie mtu kwa hoja na sio muonekano wake (personal attacks) kwa maana hayo ni machukizo mbele za Mungu.Na macho yake kama ndubwi...
Nimepata vocabulary mpya. Hakika JF ni kisimacha maarifaCorruption of mind.
Ndubwi ni Chura wadogoNdubwi ndiyo kiumbe gani tena ?
Bila shaka yoyote ni yeyeee🤣🤣🤣🤣"Kuna Viongozi nilifanya nao kazi katika chuo kikuu cha Dar es salaam , walikuwa wanaheshimika sana kwa fikra zao, lakini baadaye wakapa madaraka yakawabadilisha kifikra, na kuwa fikra zisizo na maadili "( Corruption of Mind)
- Prof Assad
👇🏿Atakuwa Huyu..
View attachment 1749210