Je, Assad alikuwa anamzungumzia Kabudi kwenye Watu waliopewa madaraka na kubadilika fikra?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
"Kuna Viongozi nilifanya nao kazi katika chuo kikuu cha Dar es salaam , walikuwa wanaheshimika sana kwa fikra zao, lakini baadaye wakapa madaraka yakawabadilisha kifikra, na kuwa fikra zisizo na maadili "( Corruption of Mind)
- Prof Assad
👇🏿Atakuwa Huyu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…