Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Mimi ninashauri wasiache kumkosoa ila wamkosoe kwa hoja makini za kisiasa na sio kumshambulia yeye binafsi au muonekano wake.Inatosha sasa mwacheni huyo mzee,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ninashauri wasiache kumkosoa ila wamkosoe kwa hoja makini za kisiasa na sio kumshambulia yeye binafsi au muonekano wake.Inatosha sasa mwacheni huyo mzee,
Asante mkuuNdubwi ni Chura wadogo
Pole kwa hilo,Mshambulie mtu kwa hoja na sio muonekano wake (personal attacks) kwa maana hayo ni machukizo mbele za Mungu.
Dah, Ndubwi, umenikumbusha utoto Mkuu! Kitambo sana.Na macho yake kama ndubwi...
Me mwenyewe ndubwi simjui,.ila utotoni ndio tulisikia hivyoDah, Ndubwi, umenikumbusha utoto Mkuu! Kitambo sana.
Ndubwi vidudu flan hivi vyeusi tulikua tunachezea kwenye madimbwi ya maji, vyeusi vina kichwa kikubwa na vimikia!!Me mwenyewe ndubwi simjui,.ila utotoni ndio tulisikia hivyo
Wale ni ruba😂Ndubwi vidudu flan hivi vyeusi tulikua tunachezea kwenye madimbwi ya maji, vyeusi vina kichwa kikubwa na vimikia!!
Wale ni ruba[emoji23]
Acquired stupidity.Corruption of mind.
Vile ambavyo mlikuwa mnaweka viwang'ate machuchu ili yakuwe makubwa siyo!Wale ni ruba[emoji23]
MmmhVile ambavyo mlikuwa mnaweka viwang'ate machuchu ili yakuwe makubwa siyo!
Sio ruba Mkuu! Vidimbwi ninavyosea ni vidimbwi vinavyotokea barabarani baada ya kunyesha, miaka hiyo ndio nilikua naona, sikuhizi sioni.. Yaani kile kidimbwi unakuta kinakaa labda wiki Moja kinakauka! Nazungumzia kwa Dar lakini, mikoani sijui ..Wale ni ruba😂