DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mh hiyo chapati!Furaha yetu sio pesView attachment 2414026
Imefanyaje[emoji23]Mh hiyo chapati!
Upo vizuri ustaadh!Mie huamka na pombe iliyobaki jana usiku
Kisha mama watoto huniletea uporo wa wali ndondo
Umeitamani.Mh hiyo chapati!
Utangulize kwanza maji ya vuguvugu kabla kinywa hujasafishaUkila parachichi moja na ndizi 2 kuna tatizo gani?
KWANI KUNA UBAYA ASUBUH NIKILA CHAPATI NA BIAWakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani
Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.
nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
Ninyi huwa mnakula senene na "uji muraini"!Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani
Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.
nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
Wewe ndio muuzaji Nini OSTAZI JUMA na msoma.Wakuu kifungua kinywa Ni kitu muhimu Sana Je unapendelea kifungua kinywa gani
Kwa sisi watu wa Pwani lazima tutangulize kiburudisho Adimu kinaitwa Alikasusu Mujarabu.
nb wale ambao kwa bahati mbaya hamjawai kufika hapa Dsm au Zanzibar Jambiani , Tunaomba kuelekea mwisho wa mwaka mtume majina yenu ili tuwachangie maana mnapitwa na Mengi.View attachment 2414014
Mbichi...ina mafuta mengiiUmeitamani.
Haijaiva..then ina mafuta mnoImefanyaje[emoji23]
Mpishi alikuwa muhaya.Mbichi...ina mafuta mengii