Je Atheism ni mental illness ? The evidence suggests "YES"

Atheists hatuamini kwenye kuamini.

Hatuamini kwamba Mungu hayupo ila tunajua Mungu hayupo.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.

Kwanza neno "Mungu" ni Fictional identity, dhana ya kufikirika.
Anaye conclude kwamba Mungu yupo ana utofauti gani na anaye conclude kuwa Mungu hayupo?
 
Atheists hatuamini kwenye kuamini.

Hatuamini kwamba Mungu hayupo ila tunajua Mungu hayupo.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.

Kwanza neno "Mungu" ni Fictional identity, dhana ya kufikirika.

Does Belief in God Make You Spiritual?​

An atheist cannot be spiritual. But you must understand that even a theist cannot be spiritual. Because an atheist and a theist are not different. One believes there is God, another believes there is no God. Both of them are believing something that they do not know. You are not sincere enough to admit that you do not know, that’s your problem. So theists and atheists are not different. They are the same people putting up an act of being different. A spiritual seeker is neither a theist nor an atheist. He has realized that he does not know, so he is seeking.

The moment you believe something, you become blind to everything else. The whole conflict on the planet is not between good and evil as they are trying to project it. It is always one man’s belief versus another man’s belief. The need for belief is more psychological than spiritual. You want to cling to something, you want to feel secure, you want to feel like you know it all. That is coming from a very immature mind. What is the problem if you don’t know anything about this existence. You actually don’t know anything. It’s beautiful! And you see how to make yourself beautiful and joyful within yourself, which is within your hands.
 
According to Sadhguru. Vip LIKUD unasemaje?
 
Unaweza kuelezea kuwa hakuna Mungu,maana unasema unajua.
Sijakuelewa mkuu, ila maelezo yako hivi;

'miungu' ni dhana ya kibinadamu, atheists tumegundua miungu ni dhana fikirika kwa zile hoja tunaimba kila siku

Hata kama ulimwengu una muumbaji, hawezi kuwa na cheo cha uungu, 'miungu' ina sifa nyingi za kibinadamu, haina mantiki

Muumbaji wa ulimwengu kama yupo atakua amekamilika au ana mantiki kuliko miungu

Ndo maana tunatumia maneno kama 'muumbaji' 'creator' 'divine intelligence' nk nk
 
Acha kukwepa wajibu wako umiza kichwa tafuta majibu swali halijakosewa
 
Acha kuleta ufafanuzi uchwara hapa.

How can you believe there is no God?

Yani unaweza kuamini kitu hakipo?

Nakwambia hivi Atheists hatuamini kwenye kuamini, hatuna imani.

Imani ni kutokuwa na uhakika.
 
Wakati Atheists wanakiri hadharani kwamba akili zao zimeshindwa kuielewa dhana ambayo wao wameibatiza jina na ku iita " The problem or Evil" , Watu wanao amini kuhusu uwepo wa Mungu nao wana ielezea Atheism kama " The Problem of Atheism"
Kwanza kabisa Haya yote ni mawazo yako tu, Theist kwa ujumla hawana maelezo kama haya.

Huwezi/hamuwezi tegua epicurean paradox kwasababu kuu moja tu na si vinginevyo.

Sababu yenyewe ni kwamba habari ya Mungu mnayeamini ni story ya uongo tu, na si vinginevyo.
Unaposema kwamba atheist wamepewa akili na Mwenyezi Mungu unakuwa unafanya upuuzi mmoja mkubwa sana pasipo kujitambua.

Yan unatumia dhana ambayo unapaswa kuiprove katika kujenga hoja za kuwaelezea watu hao hao ambao wanakutaka uprove.

Hapo unakuwa kama hauelewi unachokifanya

Siwezi kukataa wala kukubaliana moja kwa moja na hoja hii ya hawa Theists lakini ninacho weza kusema ni kwamba Atheists ni watu wasio penda kuumiza vichwa vyao.
And vice versa is true.

Theist hupenda jibu jepesi, hawataki kuumiza vichwa kuchanganua mambo.

Asilimia kubwa ya atheist kwanza wanaelewa dini, wanajifunza na mambo mengine mengi tu ikiwemo science.
Wanapenda kudadisi kwa kina mambo kuhusiana na Cosmology.

Theist wao wanakuwa kwenye illusion ya imani za wazazi wao.
Hawawezi kuhoji mambo kwa kitisho cha kukufuru.

Hawawezi kukubali kujifunza kitu tofauti na imani walizopewa tangu utotoni.

Theist (hasa Abrahamic) are lunatics.
Walipo ndipo wamefika.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuleta habari za Adam as if ni true.

Huwezi kuthibitisha habari za Adam kwasababu ni habari za uongo.

Yan umekubali habari za Adam?

Na unazitumia kujenga hoja hapa?
Tutaamini vipi kama ni kweli kama huwezi kuthibitisha habari hizo, wala kumthibitisha Mungu kama yupo?

Huoni kama unatumia uongo katika kuutetea uongo mwingine?
Wanakwepa jukumu la kutoa majibu ambayo Mungu amewauliza wanadamu.
Kabala ya kauli hii unapaswa kuthibitisha Mungu yupo.
Mkuu naomba tuelewane,

Unaposema Mungu kaumba vyote, pia ukasema Mungu huyo ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, then tukashuhudia mabaya kwenye hii dunia.

Hapo tyari unakuwa umejipinga mwenyewe.

Mungu huyo kwa uwezo wake angeweza kuumba ulimwengu usiowezekana kabisa kutokea kwa mabaya ili kulinda sifa yake ya upendo.

Sasa kulinganisha na habari ya baba yangu sio sawa.
Baba yangu si muweza wa yote,
Si mjuzi wa yote
Na wala hana upendo wote.

Kumbuka kwamba, baba yangu anathibitika kabisa kwamba ni baba yangu.

Mungu ni dhanio (hypothesis)
Mungu is just like a theory trying to explain the origin of the universe 🌌

Atheist na theist wote kwa pamoja hawana majibu ya uhakika.

Sasa theory hii lazima iwe challenged via logical arguments.
Na ukichallenge utaona haifiti katika mzani wa kimantiki.

Hizo Epicurean paradox ni moja ya tochi inayoumulika uongo wa wazi kabisa.

Sema kama unabisha
Na inaonekana huelewi maana halisi ya atheist & atheism kwa ujumla
Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu
Unapaswa kuthibitisha mungu huyo kwanza.
 
wanasema " Mtu ambae ana amini kitanda alicho kilalia ( ambacho ni very simple machine ) , kuna mtu ambae amekitengeneza, lakini yeye mwanadamu ambae mwili wake upo very complex hauna ambae ameutengeneza, mtu huyo ni mgonjwa akili."
Naomba kutoa onyo kuhusu hoja kama hizi.

Unapozungumzia ulimwengu kwa ujumla, ni vyema kuepuka experience yako ya kidunia jinsi unavyouona ulimwengu huu.

Eti kwasababu tu ukikuta meza, basi kuna fundi katengeneza.
Ukikuta boma ama nyumba lazima kuna mwashi wake.

Tukiongelea mwanzo wa dunia na ulimwengu huu, uzoefu wa kidunia unakuwa si muhimu sana.

Ni sawa na biblia, mwandishi wa kitabu cha ufunuo alipo jaribu kuelezea ile nyota ya pakanga itavyoangua duniani.

Yani yeye alidhani kuwa vitu vyote lazima vianguke chini,
Alidhan kwamba dunia ni kubwa kuliko nyota kulingana na uzoefu wake (experience ya kidunia)

The same kwa mtu anayeuliza kwamba kwanini mwezi uko juu na hauanguki, kwanini nyota nazo hazianguki,

Anauliza kutokana na experience yake ya gravity tu akiwa duniani.

Lakini hatambui kuwa ukiwa katika free space, kitu kinakuwa katika hali tofauti.
Your browser is not able to display this video.


Habari ya Mungu ni hadithi kwaajili ya vifaranga wadogo wanaoogopa giza.
 
Anaye amini na asiye amini Mungu. Wote wako sawa. All are believers.

Lakini spiritual seeker ni tofaut kabisa na hao wanao amini na wasio amini. Spiritual seeker yeye hajui,so yupo kwenye safari ya kumjua Mungu experiencial not by believing.
Mimi nakupinga.

How anayeamini na asiyeamini wawe sawa!?

Kwamba wote ni waamini (believers)?

Yani unamaanisha asiyeamini naye ni believer?

Uchi sio dressing style.

Kuzima TV 📺 si kugeuza channel
 
Huu mjadala ningependa uendelee bila ya kukashifiana wala kutukanana

Tanbihi

Sisi tusioamini huo uzushi wenu wa huyo Mungu mletwa na Majahazi ya wakoloni nikukumbushe tu miaka ya nyuma tulikuwa waamini wa hizi dini zenu. Kuwa makini sana na utakavyoviongea ukae ukijua unaongea na wanaofahamu, mf mimi binafsi nilikuwa Msabato tangu nikiwa na umri wa kabla hata ya kuanza darasa la kwanza. Nimesoma mafundisho ya Adventurer na Pathfinder.
 
Anaye conclude kwamba Mungu yupo ana utofauti gani na anaye conclude kuwa Mungu hayupo?
Utofauti upo.

Kwasababu anayeamini mungu yupo, kaamua kukubali habari za uongo na zenye kujipinga zenyewe kimantiki.

Anayeconclude kuwa Mungu hayupo kaamua kukataa uongo ulio wazi kabisa. Huo ndio utofauti wao mkubwa.

Yaani kuwa theist Ni sawa na mimi nkuambie kuwa,
Juu ya kichwa chako hapo kuna taa yenye kuweza kutoa infrared rays zenye frequency 7.5 × 10¹⁴ Hz ila tu haionekani kwa macho.
 
Theist hudhan kwamba hatujasoma dini.

Kumbe kuna watu humu teolojia wanaifahamu vyema na wamekuwa atheist kwasababu ya kukaa gizani muda mrefu.

Ukiwa gizani kwa muda mrefu, kdogo macho huanza kuona taratibu.

Nakubaliana na ule usemi wa kwamba Kuzaliwa maskini sio kosa.
Kosa ni wewe kufa maskini

Ni sawa na wewe kabisa kuzaliwa katika udanganyifu wa kwamba kuna limungu liko hapo juu, sio kosa.

Ila kosa ni wewe kufa katika udanganyifu huo.


Nb
Logic
ni tochi ya kuumulika uongo.

Science ni fimbo ya kumuangamiza Mungu

Katika mawindo ya giza, kuwa na hivi vitu ni muhimu.
 
Inabid tuanze kuwaambia hivyo wasijehisi sisi ni maamuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…