Bashite mimi
Senior Member
- May 2, 2017
- 113
- 62
[emoji23] [emoji23]Hata atletico nayo ni Madrid
Ngoja twende ila nikisikia kawatia zingine narudi.Hiyo ndio Real Madrid bwana,haya haters kalaleni hahahaaaaaa
Kumbe hadi huku tuko pamoja shemeji? [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ilikuwa dhahiri tutapata goli jamaa wanachezwa kigangwe sana na hapo ndipo tutakapo wapigia.
Lala unono mkuu,sahau kurudi hapa hahahaNgoja twende ila nikisikia kawatia zingine narudi.
Naomba tujuzane matokeo ya hii gem. Simuoni kashindwa kumuona genious Zizzou!A Madrid bay bay
Mjarbu tena mwakan
Simion kama kama
Anagundu na hii tim
hapa tuko pamoja mwaliHiyo ndio Real Madrid bwana,haya haters kalaleni hahahaaaaaa
Yaah hapa pia nipo barabarra kabisa lete khabari za huko?Kumbe hadi huku tuko pamoja shemeji? [emoji122] [emoji122] [emoji122]
naona unaumia kweli unapoona mfalme CR7 anapochanja mbuga!! lala zako bana...akina messi wanamuangalia CR7 sasa ivi anavyokimbiza kwenye uefa!Wapuuzi hawa washaruhusu goli bora nilale
Nitarudi final kuja kukupole KUBWA.Lala unono mkuu,sahau kurudi hapa hahaha
Hao real Madrid huwa ni wachumba mbele ya Bianconeri.Hatukati tamaa, tunahamia kwa Juve
Inzi akiacha ujinga atatengeneza asaliWacha wafeeee Tyari yangeyange kashawekwa 2 wapi mmoroko mzee wa offside