Je Atletico atapindua matokeo?

Hatukati tamaa, tunahamia kwa Juve
Hao real Madrid huwa ni wachumba mbele ya Bianconeri.

Tangu wambahatishe kwenye fainali ya 1998 hawajawahi tena kumsumbua juve kwenye uefa.

Hilo usiwe na shaka kijana kombe linaenda Turin hakuna back to back victory hiyo wasahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…