Je Atletico atapindua matokeo?

Je Atletico atapindua matokeo?

3ca707d4d918c47f57bb9f085d7769e8.jpg
 
Hatukati tamaa, tunahamia kwa Juve
Hao real Madrid huwa ni wachumba mbele ya Bianconeri.

Tangu wambahatishe kwenye fainali ya 1998 hawajawahi tena kumsumbua juve kwenye uefa.

Hilo usiwe na shaka kijana kombe linaenda Turin hakuna back to back victory hiyo wasahau.
 
Back
Top Bottom