Je, awamu ya 6 ya Jamhuru ya Muungano ya Tanzania itapeleka umeme kwenye vitongoji?

Je, awamu ya 6 ya Jamhuru ya Muungano ya Tanzania itapeleka umeme kwenye vitongoji?

Nilijuwa Makamba ndiko alikokuwa akilenga.

JPM aliacha Tanesco ambayo haipewi ruzuku lakini ilipambana hadi kujiendesha yenyewe kwa asilimia 100, operations zote hadi mishahara na bado hawakupunguza wafanyakazi. Walizalisha nguzo za kukaa miaka 100 (walikuwa proactive a century ahead). Magufuli alipowasaidia Tanesco kujisimamia ni pale alipowaondoa kwenye mikataba ya kinyonyaji.
Kama JNHEPP itashindikana kumalizika (White elephant project) huenda tukarudia ile mikataba ya kinyonyaji ya makampuni ya kuzalisha umeme na kuuzia Tanesco.
 
Wawekezaji wameongezeka, mapato yamepaa tangu nchi izaliwe Samia ametenda miujiza ,ajabu Sasa gharama za maisha ndio zimepaa kuliko kawaida...
Nchi hii tulimkosea Nini Mungu jamani.
 
Enzi ya Dr. Kalemani tuliingiza umeme kwa Tshs.27,000/, sasa hivi enzi ya Makamba tunaingiza umeme kwa Tshs.300K je, serikali ya awamu ya sita kwa viwango hivi itamaliza kusambaza nishati hii adhimu ya umeme kwa vijiji na vitongoji vyote by 2024?

Wakati wa bei ya Tshs. 27,000 JPM alikuwa anakusanya kodi kidogo sana ukilinganisha na makusanyo ya Samia ambaye enzi yake hii kuingiza umeme ni Tshs.300K, ghali kuliko ya JPM. Uchumi huu unakuwaje?
Awamu ya 6 inaanza 2025 na itategemea ILANI yake

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom